Habari njema wana JF

Habari njema wana JF

Wachuma

Member
Joined
Aug 4, 2016
Posts
52
Reaction score
20
c50ca9adcab6ab5a163e1104ca26c6e1.jpg
.
 
Jamani hii iko tofauti sana na hiyo mitandao mnayoifahamu. Anayeishi maeneo ya kimara na au mbezi karibu siku za jnne saa kumi jioni pale Resort kwenye semina. Ni buree.
 
Habari Njema Kwako ni kwamba umechelewa kuja mjini.................. kumbuka Siku zote naamini huwezi kulala kwenye mto
Hata kama umekauka Na ukitaka kujua mwendo wa mjinga Mpe kilemba uone
 
walahi, jiangalie kama bado unakende sio babu niliyemueleea upuuzi wako na kukasirika.
 
Jamani hii iko tofauti sana na hiyo mitandao mnayoifahamu. Anayeishi maeneo ya kimara na au mbezi karibu siku za jnne saa kumi jioni pale Resort kwenye semina. Ni buree.
Zote ni biashara za network tu, huna kitu cha kununua kaa kushoto..!
GNLD, Forever Living, GreenWorld, wakaja na Zantel sijui nini vile leo Trevo kesho wanakuja CASH in your hand..!!
 
Zote ni biashara za networking sikatai. Binafsi nimeshapitia hiyo mitandao tajwa, swissguard, Forever living, BF Suma,... sikufanikiwa kitu nikasema sintofanya tena mamtandao na kutukana kama wewe unavyotukana. Lakini Trevo nimepata mabadiliko sana tena kwa muda mfupi. Mlio na kazi mna maneno ya kukatisha watu tamaa lakini wale tunaotafuta karibuni mje tubadili maisha na kusaidiana kwenye changamoto za maradhi mbalimbali. NiPM napatikana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom