Iko namna hii mzee, Wanaweza wakawa wanapunguza staffs cause wameadvance technologically as you know good technology means less labour force kama sasa hivi utaona kabisa hawakwei nguzo za umeme wanatumia winches, vile vile wasoma meter no more needed sasa hivi umeme uko kiganjani mwako, Tunakwenda kutumia gesi kwa umeme sasa, sasa mi naona badala ya msomi mwenzangu kutega hii dormant fursa jiajiri tuu mzee graduate per year now is 40000 unadhani ratio hiyo itacover nini...Other wise kama Rizzziwanii aongee na mshua