Habari njema kwa wanaume wa ukweli

Habari njema kwa wanaume wa ukweli

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
748
Reaction score
789
Ndugu wanajamvi mwanaume wa ukweli ni Yule anaejua kutafuta pesa na vile vile kumshughulikia mpenzi wake ipasavyo.

Ndugu zangu mimi natoa huduma kwa wale wajasiliamali tunaobeti kwa kukupatia timu za mpira mbili zenye jumla ya Odd 2.

Huduma hiyo naitoa kwa siku ya kwanza nakuzawadia timu 2 zenye jumla ya odd 2 na baada ya hapo utakuwa unanunua kwa siku au wiki.

Ndugu zangu biashara hii itakuingizia kipato mfano ukiweka elfu kumi na tano kila siku pesa hio itakusaidia kushinda elf 30 na hobo kuishi vema kwa kulipa bili za umeme nk.

NB. Kwa mawasiliano zaidi ni sms ukinieleza shida yako nitakupigia Kwa namba 0713803538
 
Haya wanaume wa kweli mmeambiwa huku

Madame S
 
Ngumu kumeza hii
Ngoja wahusika waje

nothing is easier than blaming others for your own problems
 
Mwanaume WA kweli hawezi kuishi kwa kutegemea bahati nasibu,labda wanaume WA Dar Tu.
WP_20170729_10_11_16_Pro.jpg

Ngoja kwanza ninywe chai bana maana naona unazingua Tu hapa eboo.
 
Hizo odds mbili zikibuma je?? Na ni chance zipi..win loose draw... goals au??
 
Back
Top Bottom