E-sokoni
New Member
- Aug 1, 2018
- 2
- 3
Habari,, kama wewe ni mdau w Kilimo kwa namna moja au nyingine yaani kuanzia kwa mkulima mfanyabiashara wa mazao, pembejeo , Dawa ,Mbegu nk. Sasa unaweza kuwafikia Wateja na walengwa wako kupitia njia ya mtandao wa www.e-sokoni.co.tz huu ni mtandao Mpya na pekee unaokupa fursa kukutana na wadau wa kilimo tu. Kwani kinachozungumziwa Kule ni kilimo tu. Tunajadili changamto za kilimo, tunakukutanisha na Wateja kutoka kila kona. Cha kufanya tembelea www.e-sokoni.co.tz kisha shuka chini kwenye forums uache maoni yako pale. Karibuni sana