Nape jana kaiua sana Chadema! Kuna ulazima wa Chadema kurudi kusini tena! Kaipiga sana na kuwambia Chadema ni genge la wahuni ndio maana hawajari hata Nchi isipo tawalika! Amesema huyo alie kataa mshahara mkubwa Bungeni leo amelazimisha au pate kwenye chama masikini! Anasema dr slaa ni padre na ana fuata kanuni ya msifuate matendo yangu ila fuateni maneno yangu!
Nape jana kaiua sana Chadema! Kuna ulazima wa Chadema kurudi kusini tena! Kaipiga sana na kuwambia Chadema ni genge la wahuni ndio maana hawajari hata Nchi isipo tawalika! Amesema huyo alie kataa mshahara mkubwa Bungeni leo amelazimisha au pate kwenye chama masikini! Anasema dr slaa ni padre na ana fuata kanuni ya msifuate matendo yangu ila fuateni maneno yangu!
Nimeonaaaaaaaaaa
Kimbunga cha mkutano
huo, kiliwazoa wananchi
51 waliokuwa
wanachama wa CHADEMA
ambao kutokana na
furaha yao, waliamua
kukabidhi kadi zao kwa
Nape na kutangaza
kujiunga na CCM.
Hizi watakuwa wameprint - si original, atupe Serial numbers to validate!!
Hivi NAPE hana updates kwamba magamba 3 yamekataa kuvulika? namshauri arudi dar makau makuu fasta kabla mambo hayajaharibika kabisa - Teh teh teh
Pia akumbuke naye ni gamba sababu yumo kwenye tuhuma mpya za uasisi wa CCJ - kazi bado pevu.
Jamani na hii picha ya wale wanafunzi hamkuiona?
Nape jana kaiua sana Chadema! Kuna ulazima wa Chadema kurudi kusini tena! Kaipiga sana na kuwambia Chadema ni genge la wahuni ndio maana hawajari hata Nchi isipo tawalika! Amesema huyo alie kataa mshahara mkubwa Bungeni leo amelazimisha au pate kwenye chama masikini! Anasema dr slaa ni padre na ana fuata kanuni ya msifuate matendo yangu ila fuateni maneno yangu!
Jamani na hii picha ya wale wanafunzi hamkuiona?