Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Katika mgogoro wa kugombea kisiwa baina ya Japan na Uchina, makampuni ya Panasonic na Canon yamefunga shughuli zake kwa muda... haya na tujiandae kuwa na Innovation center zetu kwa maana wakisimama jumla zi-photocopy zetu zitakuwa mapambo! maana bei ya spea itazidi bei tulizonunulia.
Waandamanaji wa kichina wanapiga mawe viwanda vya wajapan..
Source:
Beyond Beijing | CRIENGLISH
china island dispute spurs anti-japan-protests/china_protests
hapa ndipo tunapaswa kujutia Philips Arusha na Matsushita Dar es Salaam. Leo nchi haina hata kiwanda kimoja cha electronic!! Afadhali hata Waganda wana Sembule yao! Miaka 50 ya UHURU TUNAJIVUNIA.......!!!!!!!!!!!!!!!
Waandamanaji wa kichina wanapiga mawe viwanda vya wajapan..
Source:
Beyond Beijing | CRIENGLISH
china island dispute spurs anti-japan-protests/china_protests
hapa ndipo tunapaswa kujutia Philips Arusha na Matsushita Dar es Salaam. Leo nchi haina hata kiwanda kimoja cha electronic!! Afadhali hata Waganda wana Sembule yao! Miaka 50 ya UHURU TUNAJIVUNIA.......!!!!!!!!!!!!!!!