TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,191
Muda huwa unatunza kila kitu, hatimaye Bunge nchini Marekani limewasilisha kifungu cha mashtaka dhidi ya Rais wa zamani Donald Trump kwa Seneti, na hivyo kusababisha kuanza kwa kesi dhidi ya rais pekee katika historia ya Merika kushtakiwa mara mbili.