The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,063
- 117,627
Unaomba ushirikiano wa kivipi?
[emoji3] [emoji3] unakaumri gani Demiss au ishu ya PM mkuuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]tatizo mimi Mdogo kidogo
Kunahaja yakukujua maana usije ukawa kama wanyakyusa wa kyela nusu mweusi nusu mweupe[emoji3]Basi m msweety black beatuful
fb style hiyo........Kwajina naitwa rehema nimgen jf naomba ushilikiano wenuView attachment 763491View attachment 763493
Nimeshajiweka kwenye avatar wala usihangaike kunitafutaKunahaja yakukujua maana usije ukawa kama wanyakyusa wa kyela nusu mweusi nusu mweupe[emoji3]
Itakua kakaukiwa na maji..Chura yupo?
Ndio ukakausha kimya ili nisikaribishe huyu mgeni.Karibu jf bi rehema,ila toa hizo picha mpendwa
Kwajina naitwa rehema nimgen jf naomba ushilikiano wenu[=full]763491[/ATTACH]View attachment 763493
[emoji13] [emoji13]Unakuta wakina Demiss ndo wapo hv afu vuruguu nyingiii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]