salum mabura
Member
- Jun 16, 2013
- 67
- 5
Habari zilizotufikia sasa hivi kupitia mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, zinasema kwamba leo ifikapo saa 1:00 za jioni kutakuwa na giza kubwa kutokana na jua kuzama upande wake wa magharibi!
shime wananchi mkumbuke kuwasha taa zenu mapema.
Mm nishafikisha!
shime wananchi mkumbuke kuwasha taa zenu mapema.
Mm nishafikisha!