Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,157
Tatizo LUGHA kakaVyombo vya Habari vimeripoti taarifa tofauti kuhusu ujio wa boss wa Barrick kutoka canada akiwa na mwenyeji wake Rais Dr John Magufuli.
Vyombo vya habari vya London vimekanusha habari ya Acacia kukubali kulia pesa wakati vyombo vyeti nchini vimeripoti kuhusu Acacia kukubali kulipa pesa kwa.
Kwanini habari hizi zimetofautiana sana na kuleta sintofahamu kwa jamii hasa ya wale wenye uwezo wa kapata habari za Nje ya nchi??