Haaaa! Kuna wadada waoga

Hebu fafanua mkuu, ni computer hii hii tunayoijua yenye cpu au ingine?
 
Kujihisi kubaya sana. Wako wanawake ambao hawajitambui kama maumbile yao huleta mgogoro kwa wanaume. Mathalani, wako wale ambao kuvaa dressing night, iliyo wazi au kanga moja, au tight wao ni sawa tu. Ofcoarse ni kama watoto wasiolewa miili yao (ingawa si wote).......nyie mkikutana na wenye macho ya kurembua mtabaka hahahaha!
 
Hahaa ni kweli mkuu,angevaa kanga moko ningeelewa,tatizo alikuja kavaa kama anaenda church nikafikir labda kaingiliwa na panya au nyoka ndani kwake
 
Usitujuamuishe tafadhali. Kwanini umefunga PM kulikoni?
 
Hufai
 
Diana balaa lako kubwa sana, Mungu tu akuzidishie.
 
hivi we unadhani wewe na yeye nani ayupo serious ?? sawa lakini

"labda sijakuelewa "
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…