Sio watu wote wenye hela wana roho nzuri, wakarimu, wanahuruma na waelewa.
Ila kiukweli Mohammed dewji ni mfano wa kuigwa kwa wanaopenda maendeleo. Huyu mtu namkubali sana. Si rahisi ku-deal na biashara za kimataifa, kiwa mwanasiasa + chuki za siasa, kuwa social na kuinteract na watu wa aina zote, katika umri mdogo, sio rahis. WaTZ tuache kuangalia mabaya ya watu tu pale mtunanapofanya jema tumsifie. Hata ile kuwahamasisha vijana kujituma ni mfano mzuri. Kuna watu kazi yao kitukana kulaani na kuchukua umaarufu bar kwa kulewa, kwenda club, n kuwa na michepuko. Na bado watatukana na hapa.
Mo dewji 👊