Hahahaaaaa doh watu wengine bhana mnamatatizo yasiyo isha
huyu mwezentu tuliwahi kumshauri ( ma-rastafarians) kuondoa neno la 'Jah' kwenye majina yake ya kisanii lakini alikataaa kata kata,
Kalikawe alikufa miaka ya 90 mwanzoniRIP gwiji wetu,hivi Kalikawe yuko wapi pia!!!
Kwani mliamua kumshauri hivyo?huyu mwezentu tuliwahi kumshauri ( ma-rastafarians) kuondoa neno la 'Jah' kwenye majina yake ya kisanii lakini alikataaa kata kata,
nmeanza kuamini ule utafiti kuwa "watanzania ni watu wanaoongoza kuwa na furaha"R. I. P brother Kimbute. Ni juzi tu nimemkumbuka, nilikuwa nafikiria nikirudi Tanzania nimtafute tupige story.
Wabongo bwana!
Muone Yericko NyerereNatamani siku moja nishudie ibada za majah wanapozika taratibu zao.
Wahenga ndio wanamjua,kama umezaliwa ilipoanzishwa Chadema huwezi kumjuaSikuwahi kumsikia huyu gwiji.
Apumzike kwa amani.