Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Kova Ana kisasi na Gwajima baada ya Gwajima kumkana zezeta ambaye Kova alikuwa analazimisha Kuwa ndiye mtesaji wa Dr. Ulimboka.
Kova aliumbuka Sana na baada ya hapo alikaa kimya kabisa akingoja wakati muafaka wa kulipiza kisasi. WAKATI NDIO HUU WA KOVA KUJIINUA.
MAJESHI.... MAJESHI...........
Kova aliumbuka Sana na baada ya hapo alikaa kimya kabisa akingoja wakati muafaka wa kulipiza kisasi. WAKATI NDIO HUU WA KOVA KUJIINUA.
MAJESHI.... MAJESHI...........