Gwajima vs Kova Chanzo ni Dr. Ulimboka

Gwajima vs Kova Chanzo ni Dr. Ulimboka

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,432
Kova Ana kisasi na Gwajima baada ya Gwajima kumkana zezeta ambaye Kova alikuwa analazimisha Kuwa ndiye mtesaji wa Dr. Ulimboka.
Kova aliumbuka Sana na baada ya hapo alikaa kimya kabisa akingoja wakati muafaka wa kulipiza kisasi. WAKATI NDIO HUU WA KOVA KUJIINUA.
MAJESHI.... MAJESHI...........
 
Kova Ana kisasi na Gwajima baada ya Gwajima kumkana zezeta ambaye Kova alikuwa analazimisha Kuwa ndiye mtesaji wa Dr. Ulimboka.
Kova aliumbuka Sana na baada ya hapo alikaa kimya kabisa akingoja wakati muafaka wa kulipiza kisasi. WAKATI NDIO HUU WA KOVA KUJIINUA.
MAJESHI.... MAJESHI...........

Mods anzisheni kanuni ya kupiga ban watu wazushi kama huyu anatoka kula ugali wake wa muhogo na nguru halafu anatunga uongo katika ubongo wake na kuumwaga humu JF! ovyo kabisa!
 
Kova Ana kisasi na Gwajima baada ya Gwajima kumkana zezeta ambaye Kova alikuwa analazimisha Kuwa ndiye mtesaji wa Dr. Ulimboka.
Kova aliumbuka Sana na baada ya hapo alikaa kimya kabisa akingoja wakati muafaka wa kulipiza kisasi. WAKATI NDIO HUU WA KOVA KUJIINUA.
MAJESHI.... MAJESHI...........
..chanzo ni Pinda banaa.
 
kinyesi hiki. ni aibu kwa mtu mzima kunya hadharani. mtu mzima ovyooo.


Kova Ana kisasi na Gwajima baada ya Gwajima kumkana zezeta ambaye Kova alikuwa analazimisha Kuwa ndiye mtesaji wa Dr. Ulimboka.
Kova aliumbuka Sana na baada ya hapo alikaa kimya kabisa akingoja wakati muafaka wa kulipiza kisasi. WAKATI NDIO HUU WA KOVA KUJIINUA.
MAJESHI.... MAJESHI...........
 
ni wakati wenu waandishi wa Hekaya ina maana ww hujasikia matusi aliyoporomosha Gwajima?
 
Mods anzisheni kanuni ya kupiga ban watu wazushi kama huyu anatoka kula ugali wake wa muhogo na nguru halafu anatunga uongo katika ubongo wake na kuumwaga humu JF! ovyo kabisa!

Mbona unatoka sana povu,au kova ni mjomba wako nini?
 
Mmiliki wa jamii forum, unaelewa fika issue ya ngwajima, chanzo cha yeye kuripoti mwenyewe polisi ni baada ya kumtolea maneno makali asko pengo, je, wewe unaridhika na hii thread, basi kama
 
Gwajima alimuumbua Kova Kwenye issue ya Ulimboka baada ya Kova kujaribu kuufanganya ulimwengu Kuwa aliyemtesa Dr. Ulimboka kajisalimisha kanisani kwa Gwajima.
Gwajima alikanusha story feki ya Kova, Kova UKAWA mdogo Kama mtoto wa sisimizi.
kumbe Kova alivyoaibika akawa anapanga mbinu ya kumuumbua Gwajima, sasa Gwajima kaingia Kwenye kumi na nane za Kova.
 
Na hapo kova anahasira ya udini pia baada ya kukataa mahakama ya kadhi
 
Gwajima alimuumbua Kova Kwenye issue ya Ulimboka baada ya Kova kujaribu kuufanganya ulimwengu Kuwa aliyemtesa Dr. Ulimboka kajisalimisha kanisani kwa Gwajima.
Gwajima alikanusha story feki ya Kova, Kova UKAWA mdogo Kama mtoto wa sisimizi.
kumbe Kova alivyoaibika akawa anapanga mbinu ya kumuumbua Gwajima, sasa Gwajima kaingia Kwenye kumi na nane za Kova.
Kwa kumbukumbu uko vizuri.
 
Back
Top Bottom