GWAJIMA: Ni bora Waziri Muhongo ameondolewa mapema wizara ya Nishati na Madini.

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
868
1,385
Mchungaji Gwajima wa kanisa la ufufuo na uzima, amesema ni bora pro Muhonho na wenzake wameondolewa mapema katika wizara ya noshati na madini ili watu wengine wenye uwezo waweze kuongoza wizara hiyo.
Ameeleza kwamba Tanzania kuna madini mengi sana na rasiliamali za kutosha sema kuna wapiga dili wachache wanaokula hela hizo na kuwataka watu wa Tanzania kupiga kazi na sio kumngojea Rais Magufuri aweze kuwasaidia.
"ni wakati wa kufanya kazi sio kila siku kuilalamilia serikali, kuna mito na maziwa watu wakalime na kuongeza kipato sio wakati wa kulala huu na kulaumu tu"
 
Kweli kabisa baadhi ya viongoz wanatupa bigijii kwa Karanga za kuonjeshwa
Wanaacha nchi iteketee kwa manafaa yao
 
Mchungaji Gwajima wa kanisa la ufufuo na uzima, amesema ni bora pro Muhonho na wenzake wameondolewa mapema katika wizara ya noshati na madini ili watu wengine wenye uwezo waweze kuongoza wizara hiyo.
Ameeleza kwamba Tanzania kuna madini mengi sana na rasiliamali za kutosha sema kuna wapiga dili wachache wanaokula hela hizo na kuwataka watu wa Tanzania kupiga kazi na sio kumngojea Rais Magufuri aweze kuwasaidia.
"ni wakati wa kufanya kazi sio kila siku kuilalamilia serikali, kuna mito na maziwa watu wakalime na kuongeza kipato sio wakati wa kulala huu na kulaumu tu"


Nilichokitegemea kutoka Kwake siyo hiki na nimeshajua ni wapi sasa na Yeye kakamatika hadi kutofurukuta sasa hapo mwanzoni. Mlio nae karibu si vibaya mkamshauri sasa kuwa aendelee tu na hizo harakati zake za Kuchunga Kondoo na huku Siasani awaachie tu akina Magufuli, Mbowe na Kabwe.

Tumemchoka sasa na aache mara moja kuwahadaa Watanzania ( wale wasiojielewa ) ili wajazane tu Kanisani Kwake kusikiliza Umbea wake huku akiwakamua tu Sadaka zao hadi wanakosa nauli za kurudi makwao na wengine wakitupigia tu miayo ya Njaa huku Miulimi yao ikiwa imekauka pale Ubungo.
 
Hehee, uzi ungechangamka sana kama Gwajima angekuwa kamponda bashite
 
"UZI WA GWAJIMA LEO UMEDORORA'' ndugu yangu kwa HATUA THABITI ANAZOCHUKUA MAGUFULI DHIDI YA MAGABACHORI, wote itafika wakati MTAMKUBALI , usimshangae GWAJIMA, WOTE MTAELEWA ,HAPA KAZI TU!
 
Back
Top Bottom