Akili zako zilikuwa zimejishikiza kwenye ukuta wa tumbo,bahati mbaya ulipoenda kujisaidia na zenyewe zimetoka na kudumbukia kule uliposhusha mzigo wako.Hivi walioliingiza Taifa kwenye mikataba hii ya kitapeli ni nani?Chadema inahusikaje kwenye rundo la mikataba hii iliyoingiwa kati ya serikali ya ccm na wawekezaji?
Acha kukimbia kivuli chenu,kivuli hakikimbiwi,kadili unavyoongeza kasi kukikimbia kivuli kitakufuata kwa kasi ileile unayoitumia kukikimbia.Wizi na ubadhirifu wote uliotamalaki nchini ni matokeo ya Sera mbovu na za kifisadi za ccm.Mikataba yote inayoliadhibu Taifa ni zao la baraza la mawaziri la serikali ya ccm chini ya uenyekiti wa Rais wa JMT.Kujaribu kuwatwisha wapinzani Mzigo wa lawama katika mikataba hii inayolitafuna Taifa ni uwendawazimu wa kiwango cha Lumumba,ni fikra za kisukule za Lumumba.
Wakati mnasaini mikataba hii mibovu huku mkiwahamisha wakazi wa maeneo hayo na wengine kujikuta wakifukiwa na vifusi kwa jeuri ya mwekezaji kule Bulyankhulu,ni mpinzani gani mliyemshirikisha katika kandarasi yenu ya kusaini mikataba ya kifisadi?Ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako.Kuihusisha mikataba hii ya kifisadi na upinzani nchini ni kielelezo cha nakisi ya ubongo uliyonayo.
Mkuu umepovuka sana pole. Huyo uliyemjibu ingawa kataja cdm,lakini kimantiki kamjadili mtu.
Ndugu yangu vita hii inayotutia hasira hata tusio "wachama"ni vita yenye sura ya kitaifa.
Ukisema ccm kama chama, haina mashiko kwa kuwa hao mibaka uchumi waliopo kwa kujificha huko ni wezi sawia na wapiga dili wa cdm.
Magufuli kaonesha njia ya namna vita hii inavyotakiwa kupiganwa.
Kungekuwa na uchama Magufuli angewakumbatia kama zama za tawala zilizopita, lakini anapiga kavukavu bila kuangalia sura ya nyani.
Sasa tukija kwa comment yako, mwenziyo. kamuona Lissu kama yupo upande wa wawekezaji. Lisu kajenga hoja na kuelekeza njia za kufuata ili nchi sijui iepuke na gadhabu za wawekezaji.
Cha kujiuliza, hizo consult za kisheria kwa nini zisitolewe mapema muda ambao wao wanadai kuanzisha hoja hiyo katika kambi ya upinzani?
Vita hii siyo ya vyama vya siasa, ni vita yetu sote kama waTz.
Yeyote anayeonekana kukosoa tunamuona kama ni mchumia tumbo.
Kama ni taaluma za kisheria waitumie kulinasua taifa na si kwa maslahi yao binafsi.
Akili zako zilikuwa zimejishikiza kwenye ukuta wa tumbo,bahati mbaya ulipoenda kujisaidia na zenyewe zimetoka na kudumbukia kule uliposhusha mzigo wako.Hivi walioliingiza Taifa kwenye mikataba hii ya kitapeli ni nani?Chadema inahusikaje kwenye rundo la mikataba hii iliyoingiwa kati ya serikali ya ccm na wawekezaji?
Acha kukimbia kivuli chenu,kivuli hakikimbiwi,kadili unavyoongeza kasi kukikimbia kivuli kitakufuata kwa kasi ileile unayoitumia kukikimbia.Wizi na ubadhirifu wote uliotamalaki nchini ni matokeo ya Sera mbovu na za kifisadi za ccm.Mikataba yote inayoliadhibu Taifa ni zao la baraza la mawaziri la serikali ya ccm chini ya uenyekiti wa Rais wa JMT.Kujaribu kuwatwisha wapinzani Mzigo wa lawama katika mikataba hii inayolitafuna Taifa ni uwendawazimu wa kiwango cha Lumumba,ni fikra za kisukule za Lumumba.
Wakati mnasaini mikataba hii mibovu huku mkiwahamisha wakazi wa maeneo hayo na wengine kujikuta wakifukiwa na vifusi kwa jeuri ya mwekezaji kule Bulyankhulu,ni mpinzani gani mliyemshirikisha katika kandarasi yenu ya kusaini mikataba ya kifisadi?Ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako.Kuihusisha mikataba hii ya kifisadi na upinzani nchini ni kielelezo cha nakisi ya ubongo uliyonayo.
Mkuu umepovuka sana pole. Huyo uliyemjibu ingawa kataja cdm,lakini kimantiki kamjadili mtu.
Ndugu yangu vita hii inayotutia hasira hata tusio "wachama"ni vita yenye sura ya kitaifa.
Ukisema ccm haina mashiko kwa kuwa hao mibaka uchumi waliopo jwa kujificha huko ni wezi sawia na wapiga dili wa cdm.
Magufuli kaonesha njia ya namna vita hii inatakiwa kupiganwa.
Kungekuwa na uchama Magufuli angewakumbatia kama zama za tawala zilizopita, lakini anapiga kavukavu bila kuangalia sura ya nyani.
Sasa tukija kwa comment yako, mwenziyo kamuona Lissu kama yupo upande wa wawekezaji.
Kasema na kuelekeza njia za kufuata ili nchi sijui iepuke na gadhabu za wawekezaji.
Cha kujiuliza, hizo consult za kisheria kwa n