mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,564
- 6,403
Hutaki iishe mkuu ?aaah shekheee tafadhali bwana iishe tena
Hutaki iishe mkuu ?aaah shekheee tafadhali bwana iishe tena
Yuko sahihi kabisa pale pale Madhabauni ndio sehemu sahihi kuongea na familia yake ili kuwaweka sawa kwa mkanganyiko wa maneno ya hovyo aliyotupiwa na bashite.Simpendi Bashite ila Gwajima anakosea.Madhabahu imekuwa jukwaa lake la kupigana vita vyake vya kimwili...!!
Baba Askofu ni balaa........View attachment 513259
Ndiyo!
Haya yooote atayasema kwenye IBADA.!!!
aisee, me sikuelewi. ila nisamehe bure. nimesoma hii comment tena na tena ila wapi!Eeeeeh...wamemchokoza main actor,actress kazi anayo sasa
Labda anaridhishwa na utendaji wa JPM, tutajuaje? Jana kaguswa hutaki yeye aguse? Hebu mwache baba askofu azungumze na familia yake!Gwajima ni Babu wa Loliondo wa awamu ya Tano !
Wakat wa Jk jambo dogo tu alikuwa anamporomoshea Matusi Jk lakin awamu hii kila akiongea hatukani Tena Serikal, CCM na Rais zaid ya kuigiza adui yake ni Paul Makonda Pekee!
Kwa wanaodhani Maigizo huwa yanajirudia watasubiri sana, hili ni igizo jipya na Maalum kwa awamu hii!
Shukran sana Taasisi yetu nyeti hapa nchini kwa uratibu wa Maigizo haya!
Paul Makonda ka charge Betteries Makusudi sio kwa bahati Mbaya kwa kuwa igizo lilianza kupoa!
Muda wa Neno la Mungu utaminywa sana, we hudhuria hiyo ibada halafu tuletee mrejesho.
Haya yooote atayasema kwenye IBADA.!!!
KUONYA na KUKEMEA HADHARANI ni miongoni mwa wajibu wa mchungaji, na hiyo ndio hekima. Mchungaji hatakiwi kuwa mtu wa kusemea uvunguni! Mwache baba askofu ainjilishe!Mm naona Gwajima sasa unalitumia kanisa vibaya, mchungaji hutakiwi kujibu kila linalosemwa, mchungaji unatakiwa kuwa na hekima za hali ya juu sana, fanya kazi ya kuinjilisha siyo kutoa mipasho yako.
Kwahiyo sasa nani anapoteza au anapata zaidi kwenye hili igizo? Au unadhani mkuu wa vijana wa makumbusho ndo anafaidi peke yake? Sadaka anayopiga Gwajima unaionaje?Gwajima ni Babu wa Loliondo wa awamu ya Tano !
Wakat wa Jk jambo dogo tu alikuwa anamporomoshea Matusi Jk lakin awamu hii kila akiongea hatukani Tena Serikal, CCM na Rais zaid ya kuigiza adui yake ni Paul Makonda Pekee!
Kwa wanaodhani Maigizo huwa yanajirudia watasubiri sana, hili ni igizo jipya na Maalum kwa awamu hii!
Shukran sana Taasisi yetu nyeti hapa nchini kwa uratibu wa Maigizo haya!
Paul Makonda ka charge Betteries Makusudi sio kwa bahati Mbaya kwa kuwa igizo lilianza kupoa!
Anatumia vizuri madhabahu kukemea maovu, na kama makanisa yapo kiroho na kimwili na ndio maana yanasajiliwa kimwili. Na kama wachungaji wote wangetumia madhabahu kama anavyoitumia Gwajima nchi hii ingekaa vizuri!Simpendi Bashite ila Gwajima anakosea.Madhabahu imekuwa jukwaa lake la kupigana vita vyake vya kimwili...!!
kwahiyo wasukuma wanatuchezesha mdumange kupitia ile idara nyetiGwajima ni Babu wa Loliondo wa awamu ya Tano !
Wakat wa Jk jambo dogo tu alikuwa anamporomoshea Matusi Jk lakin awamu hii kila akiongea hatukani Tena Serikal, CCM na Rais zaid ya kuigiza adui yake ni Paul Makonda Pekee!
Kwa wanaodhani Maigizo huwa yanajirudia watasubiri sana, hili ni igizo jipya na Maalum kwa awamu hii!
Shukran sana Taasisi yetu nyeti hapa nchini kwa uratibu wa Maigizo haya!
Paul Makonda ka charge Betteries Makusudi sio kwa bahati Mbaya kwa kuwa igizo lilianza kupoa!