Gwajima kaishia wapi na yuko wapi?

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,964
Reaction score
13,433
Askofu Josephat Gwajima sasa kaisha. Kwanini hakujifunza toka kwa Jobless Ndugai juu ya kutotabirika kwa mama yao?

Alijionyesha kama mtu anayejiamini kumbe mwoga wa kawaida!

Ajirokeze na kupayuka kama mrume kweli tumuone.

Japo alikuwa na hoja, hali ilivyo ni ukweli kakimbia hoja na kuangka chali kidini na kisiasa.

Aliphatic anawatumia CCM asijue watamstukia na kumkomesha.

Sijui kama anajua kilichowatokea akina Edward Sokoine, Aboud Jumbe, James Mapalala, Kasanga Tumbo, maalim Seif, Horace Kolimba na wengine.

Ama kweli, ujanja mwingi mbele kiza.
 
Namchukulia kama mchumia tumbo na tapeli aliyetumia dini kupata umaarufu ili afanye siasa na akaishia kuangukia pua.
Wewe unayetumia Fake ID VS Askofu??
Ni bora Gwajima ana uthubutu.
Ila wewe sasa aaaaagh!!.
 
Wajanja walimwingiza kingi, ht Mpina atajutia upumbavu anaoufanya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…