Anaongea kama mumbeya wa uswahilini
Ongea yake haina hata mantiki
Kwa hiyo haitakiwi mbunge kukatwa jina? Aendelee kuwa mbunge milele? Eti oooh kwa Mrisho Gambo watatupa kura? Nk
Gwajima kapatwa na nini ? Kaehuka.Akili zote zimehama
Weka na wewe clip yako hapa ya video tuone ukiongea. Isije ikawa unataka watu wamjadili mtu ambaye ameongea na kueleweka na walio wengi, huku wewe mwenyewe ukiwa ukiwa na mwonekano wa jinsia ya kiume! ila una macho ya kurembua kama umelishwa kungu, na pia una sauti na mapozi kama ya Kizimkazi. "Na hilo nalo mkalitizame"
Akili mfilisi hi deal na personal issues badala ya hoja. Utapeli wake, wizi,uzinzi, sijui Kiswahili chacje vyote havituhusu humu. Wewe jadiri hoja zake basi!