Gwajima alionya ujio wa 5g

Gwajima alionya ujio wa 5g

Ok9

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
4,556
Reaction score
4,162
Kipindi korona inaanza kuingia Tanzania. Mchungaji Gwajima alionya sana ujio wa 5g kwamba ndio unaoleta hii virus.
Sasa leo voda wamezindua.
Jeee? Amesema chochote tena?
 
Tunasubiri Jumapili tusikie akiamsha dude...
 
Back
Top Bottom