Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Hahahaa.....umenipa raha mkuuNaona analeta lege sehemu ya sebene
Hahahaa.....umenipa raha mkuuNaona analeta lege sehemu ya sebene
Kumbka Chelsea akikaa pale Juu kumtoa Mpaka Ligi ianze upya Kwahiyo mashabik wote lazima wachukie Kwan walitegemea city Ndoa anaweza kumfukuzia ChelseaNi mapema sana kumtabiria Gardiolla na Man city kushindwa, ligi bado mbichi sana, kuna mechi zaidi ya kumi tano kabla ya Ligi kwisha, tofauti kati ya Man City na Anayeongoza ligi ni kama Point Kumi hivi, hivyo lolote linaweza kutokea ukizingatia ligi ni ngumu na Man City wana akiba ya wachezaji wengi sana wazuri, hivyo mbio ndefu za Ligi wanaziweza.
Kwa vyovyote vile itakavyokuwa bado naipa Man City nafasi ya kuwemo Top Four.
MkuuThe Boss usifananishe matukio kirahisi hvo, maana ungeanza kueleza kwann Lesta alimpga man cty 4 na jana kakutana na chelsea kapigwa 3 kavu . . .Hata Chelsea atapigwa na everton akiwafata kwao
EPL......HAKUNA.GRANADA...WALA.OSUSA .......KUNA.EVERTON MWENYE MTAJI UNAO LINGNA NA LIVERPOOLView attachment 460287
Mpaka sasa Everton inaongoza kwa mabao manne (4) huku Man City wakiwa hawana kitu, Man City anainyemelea nafasi ya sita, ikumbukwe huyu kocha alikimbiza sana La Liga na Bundasliga hali ni tofauti ndani ya EPL.
- Guardiola atamaliza nje ya Top 4
Stones hajafikisha miaka hiyoGuardiola sio mbovu
ni kwamba ni mbishi tu
Style yake ya kucheza haiendani na mabeki wake kina Sagna..
Mabeki wake wote wako above 30 na ni wabovu
Atasajili beki January utashangaa
View attachment 460287
Mpaka sasa Everton inaongoza kwa mabao manne (4) huku Man City wakiwa hawana kitu, Man City anainyemelea nafasi ya sita, ikumbukwe huyu kocha alikimbiza sana La Liga na Bundasliga hali ni tofauti ndani ya EPL.
- Guardiola atamaliza nje ya Top 4