Gunia la mahindi ni linauzwaje kwasasa?

Gunia la mahindi ni linauzwaje kwasasa?

Gunia la mahindi debe 6 lina elfu 60k kwa 66k
 
Huku US muhindi mmoja ni 0.75 cents. Ni kama shilingi 2,000 hivi.

Tanzania muhindi mmoja shilingi ngapi?
 
Huku US muhindi mmoja ni 0.75 cents. Ni kama shilingi 2,000 hivi.

Tanzania muhindi mmoja shilingi ngapi?
Kwa huku Manyara, Gunia moja la mahindi makavu kg.110 ni 85,000 - 90,000/=
 
Back
Top Bottom