Majirani zetu wataacha lini vurugu?
Nanusa hisia za kagame kwa mbaaaaaaaaliNina wasiwasi kama Airbase Za Lubumbashi na Kinshasa hazitawekwa tahadhari kuna hatari ya Coup d'tat kufanikiwa.
Kama MONUSCO haijawa Blocked huko Goma na kufungua War Front hali itakua tete .Maana hii ni Ambush
Utaanza kusika eti ni Kagame