babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,935
- 20,229
hii mara ya tatu mkuu ktk kipindi cha siku 30Kumbe zile akili za kibanyamulenge bado zipo kule.
East African Community bado kuna kazi
na mwenyewe yupo uk kwa mabosi wake kujipendekeza ni hapo atake kurudi aambiwe kaa hukohuko nji si yako tena.kagame kawageuka wenzake, yale yale, labda anatakiwa aende tuition kwa Baba M7 ajifunze alifanya nini??
hii mara ya tatu mkuu ktk kipindi cha siku 30
mke wa habyarimana,mwandishi wa zamani wa kagame mwenyewe na RPF yake amedakwa,mwandishi mwingine wa kwanza kuripoti km kayumba yupo S.A kapotea hajulikani alipo,balozi wa nertherland kajiuzuru kaenda kuomba ukimbizi romania,kaka yake na kayumba naye kawekwa ndani sababu kayumba aliacha gari kwake alipokimbia,familia nzima ya gen,. kayumba iko under house arrest india kwa oda ya mkubwa(kagame), balozi aliyeteuliwa kuwakilisha rwanda U.K. last wiki naye alidakwa kabla hajaondoka akawekwa ndani kwa muda kisha akatolewa na kuvuliwa ubalozi palepale,kisa aliongea na kayumba kabla hajakimbia,halafu mkulu ndio kwanza yuko U.K anapandisha bendera ya rwanda commonwealth,na huko atakutana na maandamano,siasa ya jirani zetu hapo kaaaaz kwel,kwel.ni kuwaombea tu isifumuke vita tenaNiaibu kwa kingozi aliye pewa sifa kede kede kwa ujenzi wa nchi.
Naona wameamua kukamata aliyekuwa mke wa Juvenal Habyarimana.
mke wa habyarimana,mwandishi wa zamani wa kagame mwenyewe na RPF yake amedakwa,mwandishi mwingine wa kwanza kuripoti km kayumba yupo S.A kapotea hajulikani alipo,balozi wa nertherland kajiuzuru kaenda kuomba ukimbizi romania,kaka yake na kayumba naye kawekwa ndani sababu kayumba aliacha gari kwake alipokimbia,familia nzima ya gen,. kayumba iko under house arrest india kwa oda ya mkubwa(kagame), balozi aliyeteuliwa kuwakilisha rwanda U.K. last wiki naye alidakwa kabla hajaondoka akawekwa ndani kwa muda kisha akatolewa na kuvuliwa ubalozi palepale,kisa aliongea na kayumba kabla hajakimbia,halafu mkulu ndio kwanza yuko U.K anapandisha bendera ya rwanda commonwealth,na huko atakutana na maandamano,siasa ya jirani zetu hapo kaaaaz kwel,kwel.ni kuwaombea tu isifumuke vita tena
mke wa habyarimana,mwandishi wa zamani wa kagame mwenyewe na RPF yake amedakwa,mwandishi mwingine wa kwanza kuripoti km kayumba yupo S.A kapotea hajulikani alipo,balozi wa nertherland kajiuzuru kaenda kuomba ukimbizi romania,kaka yake na kayumba naye kawekwa ndani sababu kayumba aliacha gari kwake alipokimbia,familia nzima ya gen,. kayumba iko under house arrest india kwa oda ya mkubwa(kagame), balozi aliyeteuliwa kuwakilisha rwanda U.K. last wiki naye alidakwa kabla hajaondoka akawekwa ndani kwa muda kisha akatolewa na kuvuliwa ubalozi palepale,kisa aliongea na kayumba kabla hajakimbia,halafu mkulu ndio kwanza yuko U.K anapandisha bendera ya rwanda commonwealth,na huko atakutana na maandamano,siasa ya jirani zetu hapo kaaaaz kwel,kwel.ni kuwaombea tu isifumuke vita tena
Kagame hana leadership succession plan na naona hajui kitu kinaitwa kusamehe. Kama ataendelea kujaribu kuzima midomo ya wanyarwanda isiwe inasema lolote basi ategemee political instability.
Kagame hana leadership succession plan na naona hajui kitu kinaitwa kusamehe. Kama ataendelea kujaribu kuzima midomo ya wanyarwanda isiwe inasema lolote basi ategemee political instability.
Tatizo huyu jamaa kitu kilichomshinda ni kutambua mauaji yaliyofuata baada ya kuuliwa kwa Juvénal Habyarimana and Cyprien Ntaryamira mwaka 1994 kuwa pia kuna Wahutu waliuawa, ni kweli wengi waliouawa ni Watusi. Lakini yeye analipiza kisasi kushughulikia waliouwa Watusi tu. .