princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,553
- 14,381
1,333.33 sijui kama utapata.
Poa mkuuSalute
Jipumzishe kumalija..opposite na nyegezi standHabari
Kwa yoyote anaefahamu lodge ya garama ya Tzs 20000/15
anifahamishe ,maeneo ya Nyagezi Mwanza.
Ahsanteni
AsanteJi
Jipumzishe kumalija..opposite na nyegezi stand
Kwani tukiheshimiana kuna ubaya gani?Wanawake Bhana Usikute Unataka Guest Ya 6000 Ila Umejikaza Tu Kuropoka Ya Gharama Ili Uonekane Matawi Ya Juu
Wewe Ndiye Unajishushia Hadhi Kuuliza Guest Ya Kulala Humu Wakati Sehemu Uliyoko Kuna Watu Wengi Wakuwauliza Kama Ni MgeniKwani tukiheshimiana kuna ubaya gani?
Kwani tukiheshimiana kuna ubaya gani?
Wewe Nawe Mbona Unashoboka Shobokaachan nae ova anakulisha
Wewe Nawe Mbona Unashoboka Shoboka
Siyo Kosa Lako Bali Maisha Yako Ndo Yanafanya Uwe Jinsi Ulivyoyaan jins tu ulivyo unafaa kuwa houseboy wangu wa kulisha na kupikia mbwa..njoo unisaidie kupeleka mbwa kuogeshwa aic maana dah!
Kwani maana ya Jf ni nini?Wewe Ndiye Unajishushia Hadhi Kuuliza Guest Ya Kulala Humu Wakati Sehemu Uliyoko Kuna Watu Wengi Wakuwauliza Kama Ni Mgeni
nahitaji kukaa kwanzia jioni mpaka alfajiriShort time au?