mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,251
Hii ni nzuri sana na ni ya kawaida inaanzia Tsh 35,000 tatizo ipo karibu na ukumbi wa CCM Maisara hapo kunakuwa na dansi na kelele nyingi ,pia inabidi uwe na hela ya taxi kwenda mjini hakuna daladala karibu ,kama unapenda mjini naona ADAMs ipo Malindi ukitoka bandarini inatazamana na klabu ya soka ya malindi hapo ni sh 35000(sio self) ukitaka selfu ni 40,000 ni karibu na town ,bandarini na hata ukitaka kutembelea bustani ya ya pale bandarini karibu na Mji Mkongwe ni poa huhitaji taxi na pia ni salama
Accomodation
Rate : in US $
Standard 10 20 30 Suite 40 Yapatikana Maisara pale karibu na CCM Kisiwa Ndui, kuna baa kaaribu na nyama choma. Wanyamwezi kibao.
Bofya hapa utapata Contacts za Guest na Hotel Kibao:
Zanzibar Commission for Tourism | Hotels and Guest House