Guest gani bei ya chini zanzibar?

lail.gif
trans.gif
trans.gif
lists.gif
Accomodation

arrow_latest.gif
Rate : in US $
room_type1.gif
single1.gif
double1.gif
triple1.gif
trans.gif
Standard 10 20 30
Suite 40
Yapatikana Maisara pale karibu na CCM Kisiwa Ndui, kuna baa kaaribu na nyama choma. Wanyamwezi kibao.

Bofya hapa utapata Contacts za Guest na Hotel Kibao:

Zanzibar Commission for Tourism | Hotels and Guest House
Hii ni nzuri sana na ni ya kawaida inaanzia Tsh 35,000 tatizo ipo karibu na ukumbi wa CCM Maisara hapo kunakuwa na dansi na kelele nyingi ,pia inabidi uwe na hela ya taxi kwenda mjini hakuna daladala karibu ,kama unapenda mjini naona ADAMs ipo Malindi ukitoka bandarini inatazamana na klabu ya soka ya malindi hapo ni sh 35000(sio self) ukitaka selfu ni 40,000 ni karibu na town ,bandarini na hata ukitaka kutembelea bustani ya ya pale bandarini karibu na Mji Mkongwe ni poa huhitaji taxi na pia ni salama
 
za chini sana pia zipo za sh 12,000 ipo pale darajani karibu na makao makuu ya CUF nimesahau jina ukiuuliza watu wa taxi watakupeleka
 
mzuri,ipo hapo club ya malindi,kwa nje pamechoka,ila ndani burdani,ila ukiwasha Ac bei inaongezeka,ni shs 25,000 bila ac,ukingurumisha inakua 35,000 pia mizigo sijui kama inakubalika!manake wale wana sheria kali.
 
Mkuu kwa Zanzibar usalama siyo tatizo kama huku kwetu.Ila ukitaka kuenjoy kwa gharama ndogo na kuepuka inconvenience tafuta guest maeneo ya Darajan(hapa ndiyo mjini kwao)i,Stone town(aka mji mkongwe) na Malindi.Kama eneo hilo analosema mkuu bujibuji lipo ndani ya stone town.Chukwani na Airport sikushauri kwa sababu ya mambo ya kupanda taxi ama daladala which may not be convenient for a stranger na hsa kama unakaa siku moja au mbili tu.
 

Haha! Rate ya chini kabsa ni kama us 600. Nenda Mbawala pale, karibu na Amaan fresh,kama jina lilivyo huyu nadhani ni mngoni mwenzio so mboga zote utakula. Ila inabidi uende kipindi hichi wakti Al shaabab tuko bize kulipuwa kenya-otherwise moto njenje pale.
 
Back
Top Bottom