bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Jana baada ya Game ya Mancity na Chelsea kwisha na Mancity kufungwa goli 3 kwa 1 kocha Pep Guardiola wa Mancity hakumpa mkono Fabregas sijui alikataa Au hakumuona
Ila Video inaonyesha Fabregas akimshika bega kabsa lakin Pep Hakugeuka kumpa mkono na tuelewe wote ni Waspain hawa
Tusubiri habari zaid kama Pep Guardiola Naye atawekewa vikwazo kwa kosa la kutompa mtu mkono au ataachwa hivyo hivyo
Ila Video inaonyesha Fabregas akimshika bega kabsa lakin Pep Hakugeuka kumpa mkono na tuelewe wote ni Waspain hawa
Tusubiri habari zaid kama Pep Guardiola Naye atawekewa vikwazo kwa kosa la kutompa mtu mkono au ataachwa hivyo hivyo