MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,990
- 34,837
Wanasimbaaa,
Kwa ufupi Yanga tumewashindwa! Hata hizi danki danki za majuzi ni uoga wetu tu.
Fact ni tuache janja janja GSM atatufanya anachotaka hadi tupate uwekezaji serious ili tujenge timu ya maana.
Tuache maneno mengi, Yanga hawakujenga timu kwa kuleta watoto, walileta watu wa kuwapa matokeo.
Msimu mwingine wa kinyonge, msimu mwingine wa kuongeza idadi ya mechi mtani katufanya alichotaka.
Msimu huu mpya tutafanya makosa Yale Yale! Usajili mbovu na janja janja.
Haya subirini faraja ila facts ni facts! Tumewashindwa mfululizo hadi aibu! F**
Kwa ufupi Yanga tumewashindwa! Hata hizi danki danki za majuzi ni uoga wetu tu.
Fact ni tuache janja janja GSM atatufanya anachotaka hadi tupate uwekezaji serious ili tujenge timu ya maana.
Tuache maneno mengi, Yanga hawakujenga timu kwa kuleta watoto, walileta watu wa kuwapa matokeo.
Msimu mwingine wa kinyonge, msimu mwingine wa kuongeza idadi ya mechi mtani katufanya alichotaka.
Msimu huu mpya tutafanya makosa Yale Yale! Usajili mbovu na janja janja.
Haya subirini faraja ila facts ni facts! Tumewashindwa mfululizo hadi aibu! F**