S sisy New Member Joined Feb 1, 2013 Posts 1 Reaction score 0 Feb 9, 2013 #1 habarini wanajamvi mie ni mgeni humu nahitaji melezo namna ya kutoa uzi natanguliza shukrani
C CHUAKACHARA JF-Expert Member Joined Jun 3, 2011 Posts 12,361 Reaction score 6,441 Feb 9, 2013 #2 sisy said: habarini wanajamvi mie ni mgeni humu nahitaji melezo namna ya kutoa uzi natanguliza shukrani Click to expand... Karibu sana. We ongea tu ila usitukane. Tumia kiswahili lugha ya taifa. Vernaculars hazitakiwi. kiingereza unaweza jaribu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!ONGEA.....................
sisy said: habarini wanajamvi mie ni mgeni humu nahitaji melezo namna ya kutoa uzi natanguliza shukrani Click to expand... Karibu sana. We ongea tu ila usitukane. Tumia kiswahili lugha ya taifa. Vernaculars hazitakiwi. kiingereza unaweza jaribu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!ONGEA.....................
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Feb 9, 2013 #3 Karibu sana, sijakuelewa hapo 'kutoa uzi' kutoa sehemu gani?
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 Feb 9, 2013 #4 Are you sisy? Karibu mwaya
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,919 Feb 9, 2013 #5 sisy said: habarini wanajamvi mie ni mgeni humu nahitaji melezo namna ya kutoa uzi natanguliza shukrani Click to expand... Karibu sisy jamvini...............mbona umeweza kutoa huu uzi huu, au uzi gani unaoongelea? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
sisy said: habarini wanajamvi mie ni mgeni humu nahitaji melezo namna ya kutoa uzi natanguliza shukrani Click to expand... Karibu sisy jamvini...............mbona umeweza kutoa huu uzi huu, au uzi gani unaoongelea?