Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 12,908
- 27,387
Not selected kama zoteeKumekucha wale mliocheza kaangalieni matokeo
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Not selected kama zoteeKumekucha wale mliocheza kaangalieni matokeo
Haha hii ni mara ya pili sasa unaniuliza hili swali, sikucheza rafiki, mbona nipo sana humu jukwaaniHUkucheza dada?
Umepotea sana
Duh mkuu umekosa
Au umenifutilia mbali😂😂Haha hii ni mara ya pili sasa unaniuliza hili swali, sikucheza rafiki, mbona nipo sana humu jukwaani
Vijana changamkieni fursa adhimu ya kwenda na Kuishi Marekani. Full Raha kule hakuna mateso kama Nangurukuru
Hahah no wayAu umenifutilia mbali![]()
Barikiwa dadangu wa maanaHahah no way
Nimekosa mkuu..Yani daaahhhDuh mkuu umekosa
US beibi

waacheni vijana waende kiwanja kutafuta. Bongo hali tete tukibanana Wote hapa hapatatosha kakaVipi umefanikiwa kushinda mkuu?Duh mkuu umekosa
Victorie hapa umewamaliza yaani hata kujaza fomu huwezi, utaweza vipi kumudu maisha ya marekani?
Matokeo huwa yanatoka yote kwa mara moja ?Kuna mtu namjua kashinda leo soon anaanza process za kuja kiwanja nchi ya maziwa na asali.
Pole sana theres always next time mkuu
Hapana mie sikucheza hiyo mkuu
NdioMatokeo huwa yanatoka yote kwa mara moja ?
Ingia kwenye website yao www.dvprogram.state.govMmeangalia kwa njia Gani hayo matokeo?.