neggrer
Senior Member
- Oct 26, 2016
- 181
- 83
mi mgeni humu,nimejisajil leo napenda marafiki wa kubadilishana nao mawazo mbali mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umemaliza kila kitu mkuuKaribu sana,
Huku hakuna kukasirika,
Utajibiwa vibaya au vizuri kaza mkanda wala usichukie
Kuna watu wa akila aina,
Ila kila moja humu atakwambia :
Ni msomi
Ana ela
Ana gari
Vumulia tu ndo maisha ya humu wengi wana maisha fake na ndo wengi sana humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Rekebisha kwanza spelling yako. Sijui Kongosho yupo wapi siku hizimi mgeni humu,nimejisajil leo napenda marafiki wa kubadilishana nao mawazo mbali mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha umesomeka janjaaKaribu ila usije jaribu tongoza mwanamke humu,ukifikia nia ya kutaka mwanamke humu hakikisha una uhakika wa kupata milo mitatu bila kuvuja jasho,karibu sana mwananzengo
hahaa boy iyo karne ya kurekebishana ishapitwa na wakati ,watakuchekaRekebisha kwanza spelling yako. Sijui Kongosho yupo wapi siku hizi
Sent from my SM-J700F using Tapatalk
Karibu sana,
Huku hakuna kukasirika,
Utajibiwa vibaya au vizuri kaza mkanda wala usichukie
Kuna watu wa akila aina,
Ila kila moja humu atakwambia :
Ni msomi
Ana ela
Ana gari
Vumulia tu ndo maisha ya humu wengi wana maisha fake na ndo wengi sana humu
Sent using Jamii Forums mobile app
inzo enz za kurekebishana zishapitwa na wakati ,utachekwaRekebisha kwanza spelling yako. Sijui Kongosho yupo wapi siku hizi
Sent from my SM-J700F using Tapatalk
Ndio inabidi kubadilishana mawazo, vinginevyo yakifanana hamna cha kubadilisha!