Graphics Card ipi inafaa kwaajili ya kuchezea game

Graphics Card ipi inafaa kwaajili ya kuchezea game

SPYMATE

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
2,262
Reaction score
2,197
Habari wanatech,

Nina desktop Duo core ya 2gb of RAM but nataka kuiupgrade hadi 4gb kwaajili ya kuifanya icheze smoothly PC game za kisasa je niweke graphic card ya aina gani na inapatikana duka gani hapa Dar ?

Ikiwezekana mniwekee na estimate cost .

CC chief-mkwawa leh Ndetcha Paje Mwl.RCT
 
Habari wanatech,

Nina desktop Duo core ya 2gb of RAM but nataka kuiupgrade hadi 4gb kwaajili ya kuifanya icheze smoothly PC game za kisasa je niweke graphic card ya aina gani na inapatikana duka gani hapa Dar ?

Ikiwezekana mniwekee na estimate cost .

CC chief-mkwawa leh Ndetcha Paje Mwl.RCT

Nenda kwa hawa jamaa capricorn technologies wapo posta, ila andaa ela ya maana unaweza kukuta graphic card bei kubwa zaidi uliyonunulia hiyo pc yako.

Graphics card walizonazo hapa
 
kaka hata kama upo on budget andaa kilo au zaidi. na kama ukikosa kabisa tafuta graphic card yenye vram 1gb ila narecomend 2gb. nikipata nafasi nitakuekea list, ila kama alivyokwambia mtaalam hapo juu ungepata list ya graphic card za hao jamaa tungezichambua hapa
 
Habari wanatech,

Nina desktop Duo core ya 2gb of RAM but nataka kuiupgrade hadi 4gb kwaajili ya kuifanya icheze smoothly PC game za kisasa je niweke graphic card ya aina gani na inapatikana duka gani hapa Dar ?

Ikiwezekana mniwekee na estimate cost .

CC chief-mkwawa leh Ndetcha Paje Mwl.RCT

SAWASAWA MKUU. kwanza achana na hizi graphics card za hapa kwetu mara nyingi ni dhaifu na hata kama ukipata nzuri itauzwa bei ghali sana nakushauri utumie hizi ambazo hata kwa kuagiza zitakuwa cheap na utafurahia gameplay ya 30fps kwa hizi next gen. games.

Nimetembelea web aloweka h120 ni nzuri ila pale niliyoiona cheap na affordable yenye perfomance nzuri ni evga gtx 610. Sasa hii ni ya zamani nakushauri (kama una ujuzi wa online market) ingia ebay, amazon au hata dhgate wanazo evga gtx 710 hapa hutojutia mana ni standard na ina very smooth gameplay ingawa imezidiwa kidogo na Nvidia GeForce GTX 680 EVGA Classified Edition.

Jaribu kuangalia youtube utaona gameplay zake zilivyo poa mana hadi witchers 2, bf 4, watchdogs, wolfenstien na nfs rivals zinapiga poa bila kutune graphics kwenye game.

Gcard ndio kila kitu kwenye gaming na huu ndio ushauri wangu kama pro gamer. pia nenda youtube na umtafute austin evans huyu dogo atakueleza namna ya kutengeneza gaming pc cheap. hapa juzi alitengeneza foton nzuri sana ya gaming.. mchango pia kutoka kwa kina chief-mkwawa leh Ndetcha Paje Mwl.RCT kama ni gaming enthusiastss....
 
kwa kufanyia 3d rendering ni graphics card gani nzuri wadau ambayo itakuwa bei yake iko poa pia.
 
kwa kufanyia 3d rendering ni graphics card gani nzuri wadau ambayo itakuwa bei yake iko poa pia.

kuwa mkweli 3d rendering haihitaji fancy graphics card. inayohitajika ni kuanzia 2GB make sure ni kuanzia GDDR3 ingawa mpya za GDDR5 ndio utaenjoy kupiga kazi nayo.ila hizi lazima motherboard iwe tofauti kwa maana power consumption ni tofauti kiasi..
 
pc yangu n duo core processor 2.8GHZ intel ,napenda kuanimate tatizo graphics card rendering inachukua mda mrefu kama haka KaAnimationclip ilichukua mda mrefu uwezi amini
nikibalisha nikaweka nvidia haitasaidia JZHOELO
 
Last edited by a moderator:
pc yangu n duo core processor 2.8GHZ intel ,napenda kuanimate tatizo graphics card rendering inachukua mda mrefu kama haka KaAnimationclip ilichukua mda mrefu uwezi amini
nikibalisha nikaweka nvidia haitasaidia JZHOELO

Ndio itasaidia kwa kiwango kikubwa mno..ila anza kufikiria kununua processor nyingine(sio lazima iwe mpya) kuanzia core i5 kwenda juu hapo utafurahia speed na performance kiujumla.. intel processor inafanya kazi kivyake na GPU inafanya kazi kivyake hivyo basi GPU ikiwa inaperform fast itahitaji suport kutoka kwenye processor ili idefine comands nying kwa haraka kukufanyia kazi yako upesi.tofauti na AMD ambao prossesor zao zipo fused na GPU hivyo kutengeneza kitu inaitwa APU ambayo inaspeed kali mno hasa kwa gaming na hizi editing na 3d rendering.. hivyo nakushauri ufikirie kutafuta na processor nyingine hizi duo core ni za zamani sana mkuu..
karibu
 
Ndio itasaidia kwa kiwango kikubwa mno..ila anza kufikiria kununua processor nyingine(sio lazima iwe mpya) kuanzia core i5 kwenda juu hapo utafurahia speed na performance kiujumla.. intel processor inafanya kazi kivyake na GPU inafanya kazi kivyake hivyo basi GPU ikiwa inaperform fast itahitaji suport kutoka kwenye processor ili idefine comands nying kwa haraka kukufanyia kazi yako upesi.tofauti na AMD ambao prossesor zao zipo fused na GPU hivyo kutengeneza kitu inaitwa APU ambayo inaspeed kali mno hasa kwa gaming na hizi editing na 3d rendering.. hivyo nakushauri ufikirie kutafuta na processor nyingine hizi duo core ni za zamani sana mkuu..
karibu

Mm nawaza kununua Ultabook lakini naona kama nachanganyikiwa kidogo
Naombba msaa wa ku compare na contrast hizi Ultrabooks mbili Asus TP500LA-AB53T VS Asus TP500LN-QB72T-CB

Na recommebdations zako
 
Mm nawaza kununua Ultabook lakini naona kama nachanganyikiwa kidogo
Naombba msaa wa ku compare na contrast hizi Ultrabooks mbili Asus TP500LA-AB53T VS Asus TP500LN-QB72T-CB

Na recommebdations zako
AISEEEEEE mkuu bila ubishi Asus TP500LN-QB72T-CB

  • Intel® CoreTM i7 4510U Processor - Black Color
  • 15.6" 16:9 HD (1366x768) Display, 360° Rotating Touchscreen - NVIDIA® GeForce® GT 840M with 2GB DDR3 Graphics
  • 8GB DDR3L 1600(O.C.) MHz SDRAM Memory - 1TB HDD 5400RPM with 24GB SSD Cache Storage
  • Integrated 802.11 b/g/n - VGA Web Camera - 2 -in-1 card reader (SD/SDHC) - Bilingual Keyboard
  • USB 3.0 - HDMI - Bluetooth 4.0 - 2 YRs Global ASUS & OneDealOutlet Warranty

hizo nilizobold ndio zinazonifanya nikwambie kuwa hii kitu ni superb kaka.. yani for the next three years hutohitaji wala kutishwa na chochote labda itoke core i8(just kidding) ila this is the real deal mkuu sio kwa gaming,coding,animating,movie making.. pia hiyo ssd itakufanyia pc iboot within 3-4 seconds using win 8.1 update 1.. ile nyingine bwenbwe nyingi kujikunja ila hii kwa proffessionalizim z the best and worth your money kabisaaaa. hata macbook pro haingii mana apple wanatambia jina ila ukizipa heavyduty zinachemka balaa na ila this z the real shit trust me njunwa wamavoko
 
AISEEEEEE mkuu bila ubishi Asus TP500LN-QB72T-CB

  • Intel® CoreTM i7 4510U Processor - Black Color
  • 15.6" 16:9 HD (1366x768) Display, 360° Rotating Touchscreen - NVIDIA® GeForce® GT 840M with 2GB DDR3 Graphics
  • 8GB DDR3L 1600(O.C.) MHz SDRAM Memory - 1TB HDD 5400RPM with 24GB SSD Cache Storage
  • Integrated 802.11 b/g/n - VGA Web Camera - 2 -in-1 card reader (SD/SDHC) - Bilingual Keyboard
  • USB 3.0 - HDMI - Bluetooth 4.0 - 2 YRs Global ASUS & OneDealOutlet Warranty

hizo nilizobold ndio zinazonifanya nikwambie kuwa hii kitu ni superb kaka.. yani for the next three years hutohitaji wala kutishwa na chochote labda itoke core i8(just kidding) ila this is the real deal mkuu sio kwa gaming,coding,animating,movie making.. pia hiyo ssd itakufanyia pc iboot within 3-4 seconds using win 8.1 update 1.. ile nyingine bwenbwe nyingi kujikunja ila hii kwa proffessionalizim z the best and worth your money kabisaaaa. hata macbook pro haingii mana apple wanatambia jina ila ukizipa heavyduty zinachemka balaa na ila this z the real shit trust me njunwa wamavoko

Thanks kaka ila bei yake ni pasua kichwa kabisa ila nashukuru sana
Lkn bado kuna vitu vinanichanganya i.e some terms ningependa kupata maelezo yake

Intel® GMA HD Graphics VS Intel UMA
8 GB DDR3L SDRAM
000 GB 5400 rpm Hard Drive
2 -in-1 card reader (SD/SDHC)

Pia nimesoma review ya mtu kwamba core i7 ina plenty of cores than most people would require,why then buy something that you will not use...
Hii ni kama imekua ikinivutia na mm niipende hiyo ya core i5
 
Thanks kaka ila bei yake ni pasua kichwa kabisa ila nashukuru sana
Lkn bado kuna vitu vinanichanganya i.e some terms ningependa kupata maelezo yake

Intel® GMA HD Graphics VS Intel UMA
8 GB DDR3L SDRAM
000 GB 5400 rpm Hard Drive
2 -in-1 card reader (SD/SDHC)

Pia nimesoma review ya mtu kwamba core i7 ina plenty of cores than most people would require,why then buy something that you will not use...
Hii ni kama imekua ikinivutia na mm niipende hiyo ya core i5

ni kweli kabisa kuwa i7 ina processor nyingi sana more than wat u can spend ila inategemea na matumizi yako.kama ni matumizi madogo haswel processors zinatosha kabisa ila kama ni fan wa high end gaming na next gen games,heavy processing progs kama fast vid 3D vid making hii i7 u ndio inafaa sio zile i7 m. pia hiyo pc graphics zake ni kubwa mno za kutosha kufanya almost every thing.and anything..na hiyo portion ya ssd itakupa wepesi wa kuboot system extra fast..kuna jamaa yangu ana ssd ya 250gigs yani mpaka natamani nimpe tera af ye anipe hiyo ssd kwa spidi yake...trust me ur not doing anything wrong sana sana ur getting something super better fa literaly all the stuff to do with pc....
 
ni kweli kabisa kuwa i7 ina processor nyingi sana more than wat u can spend ila inategemea na matumizi yako.kama ni matumizi madogo haswel processors zinatosha kabisa ila kama ni fan wa high end gaming na next gen games,heavy processing progs kama fast vid 3D vid making hii i7 u ndio inafaa sio zile i7 m. pia hiyo pc graphics zake ni kubwa mno za kutosha kufanya almost every thing.and anything..na hiyo portion ya ssd itakupa wepesi wa kuboot system extra fast..kuna jamaa yangu ana ssd ya 250gigs yani mpaka natamani nimpe tera af ye anipe hiyo ssd kwa spidi yake...trust me ur not doing anything wrong sana sana ur getting something super better fa literaly all the stuff to do with pc....

Asante sana kaka...
Kuna zile term kule juu nimeweka zinanichanganya,unaweza kutoa maelezo yake na srries zake i.e ipi ni kubwa na ipi ni ndogo na umeongeza hilo neno haswel ndo umenipoteza mazima
 
Asante sana kaka...
Kuna zile term kule juu nimeweka zinanichanganya,unaweza kutoa maelezo yake na srries zake i.e ipi ni kubwa na ipi ni ndogo na umeongeza hilo neno haswel ndo umenipoteza mazima

sawa sawa kaka tuanze na
Intel® GMA HD Graphics : hii ni GPU inayotengenezwa na intel (intel wamejikita sana kutengeneza processor ila pia wana gpu zao) hizi GPU ni media accelerator ila huwa hazina nguvu ya kurun imagery programz zinazopitisha picha kwa frame 60 kwa sekunde 60fps..hivyo sio nzuri kwenye programs kama adobe premire,sony editor pia na kwa high end games na next gen games kuanzia mwaka 2012.ni very weak processor ingawa inajitahidi iwezavyo.
intel walianza kutumia hii aina ya architexture ya gpu kwenye hizi series za computer

  • 4th generation Intel® Core™ processors with Intel® QM87 and HM86 chipsets
  • 4th generation Intel® Core™ processors with Intel® Q87 chipset
  • Intel® Xeon® processor E3-1200 v3 family with Intel® C226 chipset
  • 3rd generation Intel® Core™ and Intel® Celeron® processors with mobile Intel® HM76/QM77 express chipsets
  • 3rd generation Intel® Core™ i7/i5 processors with Intel® B75/Q77 express chipset
  • Intel® Xeon® processor E5-2600, E5-2600 v2, and E5-2400 families with Intel® communications chipset 89xx
  • Intel® Xeon® processor E3-1200 v2 family with Intel® C216 chipset
  • 2nd generation Intel® Core™, Intel® Pentium® and Intel® Celeron® processors with Intel® Q67/B65/H61 express chipsets
  • 2nd generation Intel® Core™ and Intel® Celeron® processors with mobile Intel® QM67/HM65 express chipsets
  • Intel® Xeon®, Intel® Core™, Intel® Pentium®, and Intel® Celeron® processors with Intel® communications chipset 89xx series
  • Intel® Xeon® processor E5-2600, E5-2600 v2, and E5-2400 families with Intel® C604/C602-J chipset
  • Intel® Xeon®, 2nd generation Intel® Core™, Intel® Pentium®, and Intel® Celeron® processors with Intel® C206 chipset
  • Intel® Core™ i7, Core™ i5, Core™ i3, and Intel® Pentium® processors with Intel® Q57 Chipset
  • Intel® Core™ i7, Core™ i5, Core™ i3, and Celeron® processors with mobile Intel® QM57 and mobile Intel® HM55 express chipset
  • Intel® Core™2 Quad and Intel® Core™2 Duo processor with Intel® Q45 Express Chipset
  • Intel® Core™2 Duo, Intel® Celeron® and Intel® Celeron® M processors with Intel® GM45, Intel® GS45, and Intel® GL40 Express Chipsets
na competitors wakubwa sana wa intel processor ni AMD na kwa sasa inaonesha AMD wana architexture mpya inayoitwa Richland iliyowekwa kwenye processor ya A10 ambamo kwenye hii processor ina GPU humo humo hivyo kuipa hii processor double the power kushinda ile ya intel core i5 4th generation. ila intel wao wanajitetea kwa kuongeza core kwenye cpu zao mpaka core 8 kama kwenye ile Asus TP500LN-QB72T-CB ila wanatumia gpu za kampuni nyingine ikiwemo gpu za AMD radeon na Nvidia Ge force ili pc zao zirun high end programing codes za display kama gaming na video editing plus 3D randering

8 GB DDR3L SDRAM
hizi ni ram mpya na hazijamaliza hata niaka 6 sokoni na tangu zitengenezwe.ni ram mpya na zina spidi mara mbili ya zile za DDR2.. zinasaidia sana kupunguza defining log kutoka kwenye processor na kuipa processor nafasi ya kufanya compiling nyingi mno..ni nzuri kwa gaming na hata ukiwa na 2Gb ya DDR3 kwenye desktop inatosha ila kwa laptop ili uwe safe utahitaji kuanzia 4Gb ya ddr3.kirefuchake ni double data rate type three synchronous dynamic random access memory

1000 GB 5400 rpm Hard Drive 1TB
hii ni hard disk ya tera byte moja na haina kitu cha kushangaza zaidi ya hiyo speed yake. mara nyingi harddisk kuanzia 500Gb huwa zina Rpm kuanzia 5400rpm ingawa zipo zenye speed kuliko hii ambazo zinafika mpaka 7200rpm.ila napendelea solid state disk SSD zina speed sijawahi ona mana znyewe hazina spinning disk ndani ,zipo kama flash so ni chips tu mule ndani hivyo reading speed ni troumendous.

SDHC

hizi SDHC card huwa ni zile zile mem card za kawaida tu mkuu hazina utofauti na memcard za kawaida na zipo nadhani kuanzia 2006 so ni hizi hizi mkuu.

kama nita kuwa nimelega sehemu niwaalike na hawa watoe maoni yao chief-mkwawa leh ndetichia Paje Mwl.RCT na CYBERTEQ
 
Nimekuelewa mkubwa JZHOELO... asante sana...kama kuna addition ntawasikilizia wadau wengine
 
Last edited by a moderator:
Habari wanatech,

Nina desktop Duo core ya 2gb of RAM but nataka kuiupgrade hadi 4gb kwaajili ya kuifanya icheze smoothly PC game za kisasa je niweke graphic card ya aina gani na inapatikana duka gani hapa Dar ?

Ikiwezekana mniwekee na estimate cost .

CC chief-mkwawa leh Ndetcha Paje Mwl.RCT

Mimi hiyo Avatar yako tu imeiniacha hoi!! jamaa anakunya kwa staili za ki-martial art! dah!
 
hii mada imenifumbua kwa mengi nisiyoyajua, iendelee kamavp
 
Unajua kuna some things watu wanakosea... naomba nijaribu kufafanua kimoja kimoja ili mjue vizuri jinsi mambo yanavofanya kazi..

Kwa aliyeuliza kuhusu 3D rendering, kuna technique mbili tofauti kwenye 3D rendering, ya kwanza na ambayo inatoa very accurate renders ni ya kutumia CPU, inahitaji CPU kubwa hapa kama unataka speed kweli tunaongelea high end CPUs za i7, kwa nini CPU inatoa very accurate renders na ndio inatumika kwenye industry kubwa duniani kutengeneza 3D animated movies, sababu ni kuna kitu kinaitwa Ray tracing, hii ni technique ya kurender ambayo light ray (virtual) inakua inapita across 3D objects na kusimulate real light effect, hii hairun in parallel ndo sababu kubwa its done kwenye CPU peke yake na it takes a long time sababu CPU unlike GPU haina cores nyingi. Wamejaribu kutengeneza GPU ray tracing techniques lakini still hazitoi very good image compared to a CPU ray tracing technique.

Technique ya pili ni kwa kutumia GPU, render ambayo ingekuchukua saa moja kwenye CPU inaweza kukuchukua sekunde 20 kwenye GPU, tatizo ni hutopata quality nzuri sana ya renders kama ambayo ungepata kwenye CPU, sababu ni kama nlivosema hapo juu, GPU techiniques hizi zinajaribu tu kusimulate mwanga kwa technique mbalimbali ambazo sio very accurate, sema utapata a good overview ya render yako itakavyokua very quickly..

Sasa hapo ni kuchagua mwenyewe, kama unataka realistic looking graphics, kama movie animations etc itakulazimu kwenda na CPU rendering, kama unataka good looking graphics ila sio lazima ziwe na very high accuracy then nenda na GPU rendering.

Umesema una dual core, hiyo processor inabidi upige chini tu utafute a better processor, kwa 3D graphics hapo huchomoki, na hata kwa games the max you could run ni 30fps ukiwa na graphics card nzuri, sasa hata kama una pesa ndefu usijisumbue kununua very high end GPU sababu itakua bottleneck, GPU iko very fast ila processor inashindwa kucatch up na GPU, mwisho wa siku unakua umepoteza pesa kununua more graphics perfomance than your processor can handle.. kwa ushauri tu nenda na mid range GPUs kama Radeon R7 260X, au GT 730, dunia iko mbali sasa ununue hata online tu wafanye delivery kama bongo hutopata.. Usinunue GPU kama GTX 970, 980 CPU yako haitoweza kuhandle.

Kuongezea tu kama unataka a cheap build kabisa lakini ambayo ni fast consider kununua CPU moja Intel Pentium G3258, ni haswell CPU unaweza overclock kama una motherboard nzuri, ila kabla ya kununua motherboard yako hakikisha inaingiliana, hiyo ndo processor cheapest you can find ambayo ukiiweka na GPU kama 970 inaweza kupa 1080p 60fps kwenye magemu mengi tu. Fanya research zaidi ujue vitu kama hivi ubuild your own machine
 
Wakuu nahitaji laptop yenye uwezo mzuri angalau kwa shughuli za graphics design na video editing, nimeambiwa macbook ni the best but nyingi bei zake ni pasua kichwa, katika survey yangu nimepata hizi ndo angalau naweza kuziafford, ni ipi kati ya hizi ni the best? (naomba nitajie top 3),……


1. Dell inspiron touch-screen laptop intel core i7-8 gb memmory , i tb hdd silver.
2. Dell inspiron 17-7000 series intel core i7- 1.8 gb (16 gb, 1tb hdd) 17.3 inch touchscreen
3. Hp pavilion 15" core i7, 750 gb 8gb nvidia window 8
4. Asus n 56 jr-mh71 nootebook intel core i7 4700 hq(2.40 ghz 16gb ram 750gb hdd nvidia geforce gtx 760 m 2 gb 15.6")
5. Asus x750l-17.3" laptop-8 gb memory-1tb hdd
6. Apple macbook pro with retina display-13.3" display-8 gb memory-512 hdd


nb: Kama kuna laptop unayoijua ina uwezo zaidi ya hizi ambayo bei yake haizidi 1,200,000 (1.2 mil) naomba unitajie…..ahsante !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom