Wanajamvi naomba msaada kwa hili>
Hivi wale wanao maliza Procurement and Supplies nao wanakuwa ktk kundi la wahasibu?
Maana kuna Muajiri mmoja aliniuliza swali kuwa nina sifa ya ihasibu? na mlengwa amemaliza procurement MUCCOBS.
Pia nikiangalia takwimu ya wanao maliza uhasibu mfano last year walikuwa zaid ya 15,000 kwa vyuo vyote lakini walio maliza Accounts tu ni zaidi ya 8700 kwa vyuo vyote. sasa ili idadi ya 15,000 itimie, ni graduates gani wanakuwa na sifa za uhasibu ukiachilia waliomaliza accounts?
Naomba kusaidiwa.
Hivi wale wanao maliza Procurement and Supplies nao wanakuwa ktk kundi la wahasibu?
Maana kuna Muajiri mmoja aliniuliza swali kuwa nina sifa ya ihasibu? na mlengwa amemaliza procurement MUCCOBS.
Pia nikiangalia takwimu ya wanao maliza uhasibu mfano last year walikuwa zaid ya 15,000 kwa vyuo vyote lakini walio maliza Accounts tu ni zaidi ya 8700 kwa vyuo vyote. sasa ili idadi ya 15,000 itimie, ni graduates gani wanakuwa na sifa za uhasibu ukiachilia waliomaliza accounts?
Naomba kusaidiwa.