nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,051
- 360
Tanzania nakupenda kwa moyo wote,nchi yangu tz,jina lako ni tamu saaaana....ni wimbo ambao nilikuwa nauimba miaka hiyo nikiwa sekondari lakini sikutambua kama nauimba kinafiki ,nina andika haya nikiwa na machungu na kubwa la leo ni kuhusu graduates wa vyuo tofauti hapa tz na nje ya nchi,na hasa nataka kuuliza kuhusu enrollment wanazofanya vyuo ina mana hawajui kuwa hapo baadaye watu watakosa ajila,graduate wa vyuo hawana kazi,wenye kazi wanafanya kazi wasizomea angalia nchi inavyochangia kupoteza ujuzi wa graduates,lakini kinachovunja nguvu wengine wanaingia ktk ajira ya ualimu ambao hawajausomea ,je watoto wakifail inakuaje aje hapo?msaada members hv tatizo la kukosa ajira kwa graduates ni kuwa hawana ujuzi,experience au elimu waliyopata haiwaqualify kupata ajira?kumbukeni elimu yetu haiwaandai graduates kuwa job creatorz ila job seekers.