Graduates na kujiunga na polisi

Graduates na kujiunga na polisi

egentle

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
808
Reaction score
389
Habari za mda huu, wanajamvi.

Tumeon graduates wengi waliokosa ajira kukimbilia kujiunga JKT au kutafuta nafasi kulitumikia Taifa katika Jeshi la Polisi.

Ningependa kujua kuhusu faida au nin kinafuat baada ya vijana hawa kupiga kozi ya U- Polisi huko moshi,

Yeyote mwenye taarifa zinahusu polisi na system yao, au ama vyeo naomba achangie tafadhari,

Maana kuna dogo wangu amechaguliwa huko so before kwenda nataka nimpe details za kutosha na mimi nijiaminishe juu ya hiko anachoenda kukipata,

KARIBUNI.
 
Mwambie atafute tu kazi kulngana na elim yake wala CIO kwake uko msaidie

Mkuu, hebu nijuze zaidi hapa tafadhari. Weka vinyama nyama nikupate kwa haraka na ufasaha tafadhari.
 
mambo ya ulinzi na vyombo vya ulinzi na siyo ya kujadili hapa nenda kajifunze utayakuta huko kama kweli wewe ni mzarendo kajifunze uje utumikie taifa.
 
mambo ya ulinzi na vyombo vya ulinzi na siyo ya kujadili hapa nenda kajifunze utayakuta huko kama kweli wewe ni mzarendo kajifunze uje utumikie taifa.

Hapo katik nyuzi yangu, sijazungumizia yapo yanayo fanywa la hasha! bali ni kujua kipi kitafuta, kwani hata rank na system za polisi zipo open na sio watu tunaojua. Haya na mengine ndio ninayotaka juzwa mkuu. Kama una fahamu lolote share nami.
 
Mwache aende mkuu,polisi inatakiwa iwe na vijana wasomi na wazalendo wasio wala rushwa,hawa akina Kova/Mangu sio wabunifu na wamekwama kabisaaa..
 
Mwache aende mkuu,polisi inatakiwa iwe na vijana wasomi na wazalendo wasio wala rushwa,hawa akina Kova/Mangu sio wabunifu na wamekwama kabisaaa..

Ahsante mkuuu kwa sugestion uliyotoa.

Najaribu tu kukusanya taarifa, ili tufanye maamuzi sahihi kulingana na muda
 
unajiunga na jeshi halafu ujui kazi zake? unachekesha usifuate mkumbo, majeshi yote kazi yake ni ulinzi uwe wa raia au mipaka, hinyo umechagua kuwa mlinzi jua hivyo.
 
unajiunga na jeshi halafu ujui kazi zake? unachekesha usifuate mkumbo, majeshi yote kazi yake ni ulinzi uwe wa raia au mipaka, hinyo umechagua kuwa mlinzi jua hivyo.

Kazi za jeshi zimegawanyika mkuu, ingawa wote aim ni moja bt utendaji tofauti, kumbuka jeshi ni system yenye kila aina ya watu. Kuna division of labour mkuu. So si kila mmoja analinda ingawa lengo kuu ni ulinzi.

Lengo la uzi ni kukusanya tu information, mkuu
 
Kazi walizo kuwa wanakimbia wasomi sasa ndo wanazikimbia. mwache aende huwezi jua ndo atakako tokea huko.
 
Kiukweli polisi wasomi wa kila aina wamejaa sana sasa akienda huko awe mvumilivu maana kuna watu wana elimu kubwa sana kwa ufupi kuhusu cheo atakisubiri miaka mitatu kama elimu yake kadigiri kamoja ila kama masters ataonekana mapema ila kadigiri kule wamejaa kama uchafu yaani wanakimbizana na vibaka tu mtaani.Ajira hakuna ringaringa ile kwake akikosa polisi mwambie aje huku kwangu mshahara Tsh 80000
 
Kiukweli polisi wasomi wa kila aina wamejaa sana sasa akienda huko awe mvumilivu maana kuna watu wana elimu kubwa sana kwa ufupi kuhusu cheo atakisubiri miaka mitatu kama elimu yake kadigiri kamoja ila kama masters ataonekana mapema ila kadigiri kule wamejaa kama uchafu yaani wanakimbizana na vibaka tu mtaani.Ajira hakuna ringaringa ile kwake akikosa polisi mwambie aje huku kwangu mshahara Tsh 80000

😱:what:Hiyo ni kwa siku au wiki??
 
Back
Top Bottom