"Graduates" karibuni sana mtaani

Unataka usipate stress, baada ya kumaliza chuo? Basi andaa malengo yako even before hujachagua kozi ya kusomea!
Hapa sasa umeongea.. kuna kazi ambazo nje ya ofisi hauajiriki hivyo,mtaa ni lazma uwe mgumu mara mbili na kingine

Malengo yanatakiwa yaanze kabla ya kuchagua chuo na uhakikishe chuoni unaenda kuanzisha na si kula maisha... kwa kiasi fulani hii inasaidia maana hata ukitoka chuoni ni aidha una connections, biashara ama una pa kuanzia..
 
Unajua Tanzania tuna changamoto nyingi sana, sio wabunifu, mitaji, masoko yote hayo yanatutatiza
 
Usomi siku hizi sio kwa ajili ya ajira wala maisha mazuri tofauti na miaka ya nyuma

Lakini cha ajabu unakuta mtaani kijana aliyeishia darasa la saba anamaendelea makubwa kuliko rafiki yake aluyeendelea na Shule mpaka akafanikiwa kuhitimu elimu ya chuo
 
Siwatishi nimewaeleza ukweli, mwaka 2011, tulipograduate tulipanga kufungua NGO's tujiajiri, tukaanza kujipa vyeo Sijui CEO, sijui Marketing Manager asee usipime
NGO'S NI hatua kubwa sana.Vijana mnasajili jina la bishara brela kwa 25000,mnatengeneza site kwa 75000,manjihusisha na biashara labda ya kuuza kuku wa nyama na ayai kwenye mahoteli.Mnaingia kazini kimya kimya
 
NGO'S NI hatua kubwa sana.Vijana mnasajili jina la bishara brela kwa 25000,mnatengeneza site kwa 75000,manjihusisha na biashara labda ya kuuza kuku wa nyama na ayai kwenye mahoteli.Mnaingia kazini kimya kimya

Ni wazo zuri sana, lakn vijana masharobaro hawawezi kukubali kufanya kazi hiyo
 
Kitaani pagumu ile mbaya halafu ukikaa mwanzoni utadharau sana kazi na utajiona professional ila kuna wakati utafika utabeba zege au kuuza mitumba na degree yako mkononi
Maisha yatakunyoosha tu
 
Wewe wadanganye wenzio tu, haina shida! Jiulize kuazia 2015 serikali haiajiri, fikiria kuna graduate wangapi!? Jiulize juu ya kampuni ngapi zilizocollapse
Serikali yenyewe hoi,mtakamatwa kulipa viparata mpaka basi
 
You made my day brighter
 
Siwatishi nimewaeleza ukweli, mwaka 2011, tulipograduate tulipanga kufungua NGO's tujiajiri, tukaanza kujipa vyeo Sijui CEO, sijui Marketing Manager asee usipime
Mkuu hebu nipe story, vipi mlifanikiwa kuiendeleza hiyo NGO's au ilifia njiani? Maana kuna yetu tumeanzisha ila sijui kama tutapiga hatu ukilinganisha na awamu iliyopo madarakani tuna loose hope kabisa
 
Mkuu hebu nipe story, vipi mlifanikiwa kuiendeleza hiyo NGO's au ilifia njiani? Maana kuna yetu tumeanzisha ila sijui kama tutapiga hatu ukilinganisha na awamu iliyopo madarakani tuna loose hope kabisa
Sio rahisi mkuu, fikiria hatuna experience, hatuna connection, hatuna capital. But theoretically we were good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…