Graduate walioomba Upolisi soma muhimu

Graduate walioomba Upolisi soma muhimu

lazima ukae

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2013
Posts
791
Reaction score
417
Habari wana jf,
Mwenye taarifa juu ya usaili wa upolisi kwa upande wa graduate tunaomba atujuze kwamba ni lini wataita manake ishapita takriban miezi mitatu na bado tunaona kimya kimetanda.
 
ungeandika vizuri ning'ekwambia ila sikwambii.
 
Hv kumbe bado nmaupenda upolis? Mm nilidhan mnavyowasema kuwa wanamishahara midogo,polisccm , wauaji na nmatapeli nilijua hamuipend kwel?!.......... Wabongo bhana
 
Sio kweli kwmba watu wanaipenda kazi ya upolisi, ni kwa sababu hakuna ajira nyingine kwenye fani zingine. Kilimo kinabeba watu wengi zaidi sio kwa sababu watu wanapenda kilimo ila ni kwa sababu ambayo ni rahisi kuipata.
Hv kumbe bado nmaupenda upolis? Mm nilidhan mnavyowasema kuwa wanamishahara midogo,polisccm , wauaji na nmatapeli nilijua hamuipend kwel?!.......... Wabongo bhana
 
Back
Top Bottom