Mwanangu tafuta PhD, then after that Post Doc, then publications, publications, publications, publications! Nadhani kwa uandishi wako nahisi bado mtoto mdogo (ki-umri, usinielewe vibaya) , the limit is the sky kama jina lako la hapa! Wasemaje
halafu hayajielewi huko juu, hivi ni mtu alikurupuka kusema D mbili au haukuangalia D imeanzia ngap. watu wanasifa kinoma ili magufuli awasifiee , duuuuuh
suala la ongezeko la max pia lilitumika kwa waliomaliza o'level mwaka jana
mfano;
00-34=f
35-44=d
45-64=c
65-74=b
75-100=a
ndivyo viwango vilivyotumika so sishangai kwa ongezeko la advance