Grade Mpya za matokeo Necta ni jipu, Limepata mtumbuaji..

Grade Mpya za matokeo Necta ni jipu, Limepata mtumbuaji..

Kweli kabsa. Elimu ilshuka sana yaan kla mwaka grade znabadlshwa ili ufaulu uwe wakimbuka. Yule jamaa alharbu sana hii nchi.
 
Kikwete alitaka waweke hadi div. 7 kuwaokoa waislam maana wanafeli sana kupita kawaida... kama yeye JK.
 
Mwanaasha ndio alimfukuzisha huyu mama, maana ile div 4 aliyopata peke yake pale FEZA School ingeweza kuwa div 2 kwa sasa.
 
Hii nchi ukifanya vizur kiasi cha kuwachukizwa watawala utakwenda na maji
 
Aisee tuna safari ndefu sana ,wewe endelea kusema adui yenu karudi wakati kwenye shule za kanisa wana pass mark zao ambayo lazima ufikie ndio uweze kwenda mbele ,mnafurahia Jk alivyoharibu elimu kesho na keshokutwa muanze kulalamika oh wakristo sijui wanapewa nafasi nzuri ,sasa unategemea mseminari aliyesoma vizuri na hawa wa kufaulishwa bila kujua kusoma na kuandika hizo post nzuri watapewa kina nani ?? Jengeni shule jamani,wapelekeni watoto shule ,vinginevyo tutaendelea kulaumiana tu

Sio wajenge shule tu, watoe elimu bora kwa watoto wao na sio blabla. kunashule zipo mwanza za kiislam(watu binafsi), nazikubal sana. thaqafa, taqwa na kiseke waige hizo. wakumbukuke kuhudumia watoto, nasio kuzaazaa watoto wasio na idadi ili kueneza dini bd ya kuwapa huduma
 
Sio wajenge shule tu, watoe elimu bora kwa watoto wao na sio blabla. kunashule zipo mwanza za kiislam(watu binafsi), nazikubal sana. thaqafa, taqwa na kiseke waige hizo. wakumbukuke kuhudumia watoto, nasio kuzaazaa watoto wasio na idadi ili kueneza dini bd ya kuwapa huduma

Mwenye macho na atazame na mwenye masikio na asikie ,ujumbe umefika
 
Kikwete alitaka waweke hadi div. 7 kuwaokoa waislam maana wanafeli sana kupita kawaida... kama yeye JK.

Mkuu acha ujinga wako wa kuendekeza udini, halafu hii analysis yako umeifanyia wapi kuwa huwa waislamu kiwango chao cha kufaulu ni ndogo.
 
aisee kweli yaaani mtoto wa sekondary anaekewa GPA ni ujinga full



hivi shukuru kawambwa aliendaga wapi
 
kwa hizi zilizopo saivi ni usengerem tunataka mfumo wa division urudi
 
Magufuli inabidi amuondoe Prof Mchome maana yule nae ni jipu
 
Back
Top Bottom