GPA ya 32, maandiko yametimia

GPA ya 32, maandiko yametimia

Spav V

Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
11
Reaction score
52
Propaganda ni neno linalotokana na neno la ki-latini lililotumiwa kihistoria kwa Mara ya kwanza na chombo kipya katika kanisa katoliki kilichoundwa mwaka 1622 ambacho kilijulikana kwa jina la "Congregation de Propaganda" au kwa lugha isiyo rasmi "Propaganda".Ki-latini neno "Propagare" linamaanisha kusambaza yani Spread au Propagate.

NINI LILIKUWA DHUMUNI LA PROPAGANDA
Chombo hiki yaani Congregation de Propaganda kiliundwa mahususi ili kusambaza jumbe na kuhakikisha watu wanaamini katika U-Catholic na hasa ambao awali hawakuwa katika imani hiyo.Mnamo mwaka 1970 neno hili lilianza kutumika katika nyanja ambazo si za kiimani(Secular activities).
Na hatimaye katikati ya karne ya kumi na tisa ilichukua taswira mpya ambayo ni hasi hasa baada ya kuanza kutumika katika siasa(Political Sphere).
Kabla ya hapo na ambapo neno hili limeanza kutumika tayari,Propaganda inatajwa kufanikisha mabadiliko na matukio makubwa ulimwenguni baadhi ni Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Rumi 44-30 BC,Reformation katika bara Ulaya na Mapinduzi ya Wamarekani(American Revolution) n.k

PROPAGANDA TANZANIA.
Ni miaka 32 sasa tangu Rais wa kwanza wa Tanzania hayati mwl Julius Nyerere ang'atuke,maadui wakuu watatu Ujinga,Maradhi na Umasikini graph yake inapanda kwa kasi,Tumeongeza Ujinga,Maradhi na Umasikini umekithiri,Mission failed.
Adui wa CCM si hao watatu tena,Sasa CCM adui yake namba moja ni Elimu na inafanikiwa kwa kasi sana kupitia propaganda zake mahsusi.
Si rahisi sana kueleweka pasipo kazi ya ziada katika jambo zito kama hill ambalo kwalo serikali ya Chama cha mapinduzi inaanza kufanikiwa pakubwa sana katika hili...Hivi sasa kote duniani serikali hutumia Propaganda kufanikisha Maslahi yake,kwa maana hii bila shaka Tanzania ni jambo ambalo lipo.

GPA YA 32
Binafsi nina mashaka makubwa na kijana yule mwenye GPA ya 32 na SUA ya Dodoma badala ya Morogoro,Pamoja na maelezo yake mengi sana yenye utata.
Kwanza,tukiangalia kwa muktadha kwamba Kijana yule alidhamiria kumdanganya mheshimiwa kuhusu elimu yake ili apate ajira,swali ninalojiuliza vipi kama Rais angempatia ajira angelipeleka vyeti gani?
Pili,kama yule bwana alikosa Confidence katika umati ule bado nashindwa kisadiki kwamba inaweza kupelekea aongee mambo ya ajabu kama Degree ya Udaktari wa Engineering, Non Sense,kwa msomi hata temper isingelikuana namna ile.
Tatu,Kama alikua ni kichaa yani mgonjwa wa akili basi it makes sense.

TUKO KATIKA NYAKATI GANI
Ninaomba niwakumbushe ndugu zangu,hivi sasa tuko katika nyakati ambapo ajira ni tatizo sugu ambalo serikali yetu ya Ccm imezidiwa,kuna umuhimu mkubwa was serikali kutafuta kichaka cha kujifichia.

PROPAGANDA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI
Kwa hakika tukio kijana yule ni la kutengenezwa kwa zaidi ya 100%,ili umma uamini yafuatayo
01.Wasomi hawapati ajira na ni haki yao ya msingi kutopata ajira kwasababu hawakuwa makini na walochobobea.
02.Wasomi hawapaswi kusikilozwa katika jamii ya Kitanzania kwa sababu hawana tofauti na wasiosoma,tukio like lilitengenezwa mahsusi ili kuuhadaa umma kutokuwasikiliza wasomi kwasababu CCM inaelewa wasomi na adui wao nambari moja.

Shame On CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Propaganda ni neno linalotokana na neno la ki-latini lililotumiwa kihistoria kwa Mara ya kwanza na chombo kipya katika kanisa katoliki kilichoundwa mwaka 1622 ambacho kilijulikana kwa jina la "Congregation de Propaganda" au kwa lugha isiyo rasmi "Propaganda".Ki-latini neno "Propagare" linamaanisha kusambaza yani Spread au Propagate.

NINI LILIKUWA DHUMUNI LA PROPAGANDA
Chombo hiki yaani Congregation de Propaganda kiliundwa mahususi ili kusambaza jumbe na kuhakikisha watu wanaamini katika U-Catholic na hasa ambao awali hawakuwa katika imani hiyo.Mnamo mwaka 1970 neno hili lilianza kutumika katika nyanja ambazo si za kiimani(Secular activities).
Na hatimaye katikati ya karne ya kumi na tisa ilichukua taswira mpya ambayo ni hasi hasa baada ya kuanza kutumika katika siasa(Political Sphere).
Kabla ya hapo na ambapo neno hili limeanza kutumika tayari,Propaganda inatajwa kufanikisha mabadiliko na matukio makubwa ulimwenguni baadhi ni Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Rumi 44-30 BC,Reformation katika bara Ulaya na Mapinduzi ya Wamarekani(American Revolution) n.k

PROPAGANDA TANZANIA.
Ni miaka 32 sasa tangu Rais wa kwanza wa Tanzania hayati mwl Julius Nyerere ang'atuke,maadui wakuu watatu Ujinga,Maradhi na Umasikini graph yake inapanda kwa kasi,Tumeongeza Ujinga,Maradhi na Umasikini umekithiri,Mission failed.
Adui wa CCM si hao watatu tena,Sasa CCM adui yake namba moja ni Elimu na inafanikiwa kwa kasi sana kupitia propaganda zake mahsusi.
Si rahisi sana kueleweka pasipo kazi ya ziada katika jambo zito kama hill ambalo kwalo serikali ya Chama cha mapinduzi inaanza kufanikiwa pakubwa sana katika hili...Hivi sasa kote duniani serikali hutumia Propaganda kufanikisha Maslahi yake,kwa maana hii bila shaka Tanzania ni jambo ambalo lipo.

GPA YA 32
Binafsi nina mashaka makubwa na kijana yule mwenye GPA ya 32 na SUA ya Dodoma badala ya Morogoro,Pamoja na maelezo yake mengi sana yenye utata.
Kwanza,tukiangalia kwa muktadha kwamba Kijana yule alidhamiria kumdanganya mheshimiwa kuhusu elimu yake ili apate ajira,swali ninalojiuliza vipi kama Rais angempatia ajira angelipeleka vyeti gani?
Pili,kama yule bwana alikosa Confidence katika umati ule bado nashindwa kisadiki kwamba inaweza kupelekea aongee mambo ya ajabu kama Degree ya Udaktari wa Engineering, Non Sense,kwa msomi hata temper isingelikuana namna ile.
Tatu,Kama alikua ni kichaa yani mgonjwa wa akili basi it makes sense.

TUKO KATIKA NYAKATI GANI
Ninaomba niwakumbushe ndugu zangu,hivi sasa tuko katika nyakati ambapo ajira ni tatizo sugu ambalo serikali yetu ya Ccm imezidiwa,kuna umuhimu mkubwa was serikali kutafuta kichaka cha kujifichia.

PROPAGANDA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI
Kwa hakika tukio kijana yule ni la kutengenezwa kwa zaidi ya 100%,ili umma uamini yafuatayo
01.Wasomi hawapati ajira na ni haki yao ya msingi kutopata ajira kwasababu hawakuwa makini na walochobobea.
02.Wasomi hawapaswi kusikilozwa katika jamii ya Kitanzania kwa sababu hawana tofauti na wasiosoma,tukio like lilitengenezwa mahsusi ili kuuhadaa umma kutokuwasikiliza wasomi kwasababu CCM inaelewa wasomi na adui wao nambari moja.

Shame On CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimenote kitu hapo miaka 32 tangu mchonga ang'atuke madarakani... Na GPA ya 32... Kiroho ina tafsiri yake pana sana japo ni tukio lenye viashiria vyote vya kutengenezwa

Jr
 
Propaganda ni neno linalotokana na neno la ki-latini lililotumiwa kihistoria kwa Mara ya kwanza na chombo kipya katika kanisa katoliki kilichoundwa mwaka 1622 ambacho kilijulikana kwa jina la "Congregation de Propaganda" au kwa lugha isiyo rasmi "Propaganda".Ki-latini neno "Propagare" linamaanisha kusambaza yani Spread au Propagate.

NINI LILIKUWA DHUMUNI LA PROPAGANDA
Chombo hiki yaani Congregation de Propaganda kiliundwa mahususi ili kusambaza jumbe na kuhakikisha watu wanaamini katika U-Catholic na hasa ambao awali hawakuwa katika imani hiyo.Mnamo mwaka 1970 neno hili lilianza kutumika katika nyanja ambazo si za kiimani(Secular activities).
Na hatimaye katikati ya karne ya kumi na tisa ilichukua taswira mpya ambayo ni hasi hasa baada ya kuanza kutumika katika siasa(Political Sphere).
Kabla ya hapo na ambapo neno hili limeanza kutumika tayari,Propaganda inatajwa kufanikisha mabadiliko na matukio makubwa ulimwenguni baadhi ni Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Rumi 44-30 BC,Reformation katika bara Ulaya na Mapinduzi ya Wamarekani(American Revolution) n.k

PROPAGANDA TANZANIA.
Ni miaka 32 sasa tangu Rais wa kwanza wa Tanzania hayati mwl Julius Nyerere ang'atuke,maadui wakuu watatu Ujinga,Maradhi na Umasikini graph yake inapanda kwa kasi,Tumeongeza Ujinga,Maradhi na Umasikini umekithiri,Mission failed.
Adui wa CCM si hao watatu tena,Sasa CCM adui yake namba moja ni Elimu na inafanikiwa kwa kasi sana kupitia propaganda zake mahsusi.
Si rahisi sana kueleweka pasipo kazi ya ziada katika jambo zito kama hill ambalo kwalo serikali ya Chama cha mapinduzi inaanza kufanikiwa pakubwa sana katika hili...Hivi sasa kote duniani serikali hutumia Propaganda kufanikisha Maslahi yake,kwa maana hii bila shaka Tanzania ni jambo ambalo lipo.

GPA YA 32
Binafsi nina mashaka makubwa na kijana yule mwenye GPA ya 32 na SUA ya Dodoma badala ya Morogoro,Pamoja na maelezo yake mengi sana yenye utata.
Kwanza,tukiangalia kwa muktadha kwamba Kijana yule alidhamiria kumdanganya mheshimiwa kuhusu elimu yake ili apate ajira,swali ninalojiuliza vipi kama Rais angempatia ajira angelipeleka vyeti gani?
Pili,kama yule bwana alikosa Confidence katika umati ule bado nashindwa kisadiki kwamba inaweza kupelekea aongee mambo ya ajabu kama Degree ya Udaktari wa Engineering, Non Sense,kwa msomi hata temper isingelikuana namna ile.
Tatu,Kama alikua ni kichaa yani mgonjwa wa akili basi it makes sense.

TUKO KATIKA NYAKATI GANI
Ninaomba niwakumbushe ndugu zangu,hivi sasa tuko katika nyakati ambapo ajira ni tatizo sugu ambalo serikali yetu ya Ccm imezidiwa,kuna umuhimu mkubwa was serikali kutafuta kichaka cha kujifichia.

PROPAGANDA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI
Kwa hakika tukio kijana yule ni la kutengenezwa kwa zaidi ya 100%,ili umma uamini yafuatayo
01.Wasomi hawapati ajira na ni haki yao ya msingi kutopata ajira kwasababu hawakuwa makini na walochobobea.
02.Wasomi hawapaswi kusikilozwa katika jamii ya Kitanzania kwa sababu hawana tofauti na wasiosoma,tukio like lilitengenezwa mahsusi ili kuuhadaa umma kutokuwasikiliza wasomi kwasababu CCM inaelewa wasomi na adui wao nambari moja.

Shame On CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
PUMBA
 
Kunae haja ya kujitathimini kama nchi.
Yaani wasio na ajira wanalilia ajira
Walio na ajira ndio wamechanganyikiwa zaidi hata kujipeleka kujinyonga
Maslai yote ya watumishi yamewekwa kwapani.
Hapa kuna MTU anatakiwa ajitathimini laah awezi inatakiwa kundi la walio wengi limsaidie kujitathimini
 
Back
Top Bottom