GOV'T v/s SUGAR INDUSTRIES

Viwanda vya ndani vinawaza kupiga hela tu, vinawanyonya wakulima wa miwa na wananchi wanao nunua sukari pia, ni wavivu wa kubuni njia za kuongeza uzalishaji na kupunguza gharama za uendeshaji. Hawana tofauti na viwanda vya saruji nchini. Haiingii akili sukari (au saruji) iliyotengenezwa nje, imeingizwa nchini na ikalipiwa kodi zote bila kusahau shiping costs halafu inauzwa nafuu kuliko hiyo ya ndani. Inahitaji mwenye mamlaka awe anakunywa viroba ili aweze kuzuia sukari (au saruji) isiingie toka nje, kwanza inaongeza ushindani katika ubora wa bidhaa na unafuu wa bei hivyo mwananchi wa chini anafaidika zaidi.
Sukari na saruji zinazoingizwa nchini na wahindi hawa mabingwa wa kukwepa kodi tangu lini zimeanza kulipiwa kodi halali? Wewe huijui Tanzania ndo maana unaamini kuna kitu kinaendeshwa bila rushwa. Ukifuata ushauri wako nchi inazama kaburini maana hatutakuwa hata na senti moja ya dola kwa kuagiza kila kitu toka nje.
 
Sukari na saruji zinazoingizwa nchini na wahindi hawa mabingwa wa kukwepa kodi tangu lini zimeanza kulipiwa kodi halali? Wewe huijui Tanzania ndo maana unaamini kuna kitu kinaendeshwa bila rushwa. Ukifuata ushauri wako nchi inazama kaburini maana hatutakuwa hata na senti moja ya dola kwa kuagiza kila kitu toka nje.
Muhimu mwananchi kupata nafuu ya maisha.
 
Viwanda vya ndani vinawaza kupiga hela tu, vinawanyonya wakulima wa miwa na wananchi wanao nunua sukari pia, ni wavivu wa kubuni njia za kuongeza uzalishaji na kupunguza gharama za uendeshaji. Hawana tofauti na viwanda vya saruji nchini. Haiingii akili sukari (au saruji) iliyotengenezwa nje, imeingizwa nchini na ikalipiwa kodi zote bila kusahau shiping costs halafu inauzwa nafuu kuliko hiyo ya ndani. Inahitaji mwenye mamlaka awe anakunywa viroba ili aweze kuzuia sukari (au saruji) isiingie toka nje, kwanza inaongeza ushindani katika ubora wa bidhaa na unafuu wa bei hivyo mwananchi wa chini anafaidika zaidi.

Masuala ya kitaalamu sio kila mtu anaweza kuongelea hapa wewe "KINYESI" ni Livingston Lusinde.
 
this issue is GOING TO IGNITE A NEW SCANDAL BIGGER THAN THAT OF ESCROW LETS KEEP TUNE ON!
 
this issue is GOING TO IGNITE A NEW SCANDAL BIGGER THAN THAT OF ESCROW LETS KEEP TUNE ON!

IT'S a bullshit kama tutakuwa watu wa kuibua tu scandal @ the end of the day kuwajibishana tunaoneana aibu.Wabunge wasianzishe riwaya mpya wakati zilizopo hatujui zimeishiaje mfn eppa,dowans,escrow,list ya majina ya wauza poda,tusimamie haya kwanza kieleweke.Sio dairy tunaibua mambo tu bila wahusika kushtakiwa mim binafsi sioni umuhimu huo.
 
Mi napendekeza waendelee kuleta sukari toka huko huko nje maana sukari ya ndani bei juu na huku miwa inavunwa maeneo hayo hayo mi huku rorya natumia sukari ya kenya kilo moja tsh 1500 ya tanzania 2500 huoni huu ni upuuzi serikal naiomba ingalie wapi kuna tatizo maana hawa wafanyabiashara wa tanzania wanajali faida tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom