Huwa siangaliagi ujinga wa TBC mzee. Siwezi kuangalia kituo cha TV kinachowabagua Watanzania wenzetu simply kwa vile ni wapinzani kwa kuwa treat kama vile ni wakimbizi katika nchi yao!! N a kama kuna WAPINZANI kwenye hiyo Kamati ya Prof. Ka-bundi basi ni type ya kina Pro-fedha. Lipumba-f anayetumiwa na CCM kuua CUF ya Maalim Seifu.