Mkoa wa Kagera una bahati mbaya msimu huu kwani wabunge wengi vilaza na mfano mzuri ni wabunge wa Nkenge,Karagwe,Bukoba vijijini! Nadhani wahaya wamepoteza heshima yao kwa kuchagua vilaza! Nakumbuka enzi za Kinyondo,Rwakatale,Zimbiile,Rwegasila,Mzee wa Biharamulo walikuwa majembe.