Gosbert Blandes acha kutudhalilisha Karagwe


shiiiiiti!! Huyu jamaa kapita saa ngapi kukusanya maoni!?. mwanzo bibi na babu zangu walionekana kumwamini kumbe ni zuzu,nasikia anawahadaa wananchi eti umeme kaupeleka yeye kule vijijini..huyu anatudhalilisha sana,hv bukoba tumelogwa?
 
Ntahakikisha kabla ya kurudi Kigoma next month nahamasisha kufanyika mkutano mmoja wa hadhara ili kuwaeleza wananchi juu ya upuuzi huu toka kwa Blandes.
 
Blunder hii ni kawaida yake, oh sorry, - Blandes mambo yake kila siku ni blunders tupu kama jina lake.
 
hata mimi naishi omurushaka lakini sijawahi kusikia kitu kama hicho, huyo jamaa hana akili, kwanza huwa anaogopa kuchangia bungeni, jama hanaga confidence kabisa, huwa anawambia wanakaragwe eti anachangia kwa maandishi, sijui huwa anachangia kwa kutuma sms kwa spika?
 

Ndugu yangu maoni kwa mswada upi?
wakati huu ni mpya na wamepewa juzi tu hapohapo wanaanza kuuchangia?
na kusema eti wametumwa? nani kawatuma?
Wangu mimi wa ARUMERU hata sijuhi yuko wapi?
 
Mkoa wa Kagera una bahati mbaya msimu huu kwani wabunge wengi vilaza na mfano mzuri ni wabunge wa Nkenge,Karagwe,Bukoba vijijini! Nadhani wahaya wamepoteza heshima yao kwa kuchagua vilaza! Nakumbuka enzi za Kinyondo,Rwakatale,Zimbiile,Rwegasila,Mzee wa Biharamulo walikuwa majembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…