Gorrila, eti wanaume wangapi wanaweza mshinda na kumpeleka chini?

Gorrila, eti wanaume wangapi wanaweza mshinda na kumpeleka chini?

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,363
Reaction score
15,099
eti wanaume wangapi wenye nguvu wanaweza shindana na gorrila na kumshinda kwa kumpeleka chini? nimesikia mpaka wanaume 100 eti ndiyo wanaweza mpeleka gorrila chini, nini maoni yako ? …

kama zikipigwa wanaume vs gorilla

1751578704748.jpeg


1751578465101.jpeg
 
Hebu nichambue kwa undani uwezo wa gorilla na mlinganisho wa vitendo:

1. Nguvu ya Gorilla kwa Mlinganisho wa Vitendo

Kuvunja Mbao: Gorilla anaweza kuvunja mbao nene kama 2x4 inches (5x10cm) kwa mikono tu - sawa na mtu akitumia nyundo kubwa.

Kuinua Mizigo: Anaweza kuinua hadi 815kg (sawa na gari ndogo au farasi wawili wazima).

Kushindana na Wanyama: Nguvu zake ni 4-9 mara zaidi ya mwanadamu mwenye viungo vya kawaida.

2. Wanadamu Wanaoweza Kumshinda Gorilla

Kwa Hali ya Kawaida:

Wanadamu 4-8 wanaofanya kazi kwa pamoja wanaweza kumshinda kwa kumzunguka na kumvamia kwa mara kwa mara.

Lakini hii inahitaji ujasiri na ushirikiano kamili - gorilla atapambana kwa nguvu zote.

Kwa Gorilla Mwenye Hasira Kali:

Inahitaji wanadamu 10-15 waliopanga vizuri kwa silaha za kutosha (vijiti, nyundo, n.k.).

Bila silaha, hata wanadamu wengi wanaweza kuumia vibaya kwa sekunde chache tu.

3. Sababu za Uwezo Wake

Misuli: Mwili wake una misuli 6 mara nene zaidi ya ya mwanadamu.

Kasi: Anaweza kukimbia kwa 40km/h - kasi ya mbio fupi ya mwanariadha wa Olimpiki.

Menyo: Fizo lake lina nguvu ya 1,300 PSI, lenye uwezo wa kukata mfupa wa mwanadamu kwa urahisi.

4. Onyo

Gorilla ni mnyama mwenye amani hasa, lakini akikasirika au kujisikia katika hatari, hata kikosi cha polisi kinaweza kuwa na shida kumdhibiti bila silaha maalum.
 
Gorilla ni rafiki mzuri tu, kwanza hata habari kupigana na bin adam.
Duma, Chui,Tembo hata Simba hawali nyama ya mtu kabla hujawachokoza.
Gorilla ukimsumbua anaweza kuja kutawanya kijiji kizima hapo kwenu.
Na watakuja watatu tu.
Mtapigwa mpaka maji muite Malila
 
Inategemea na umri wa Gorilla, kama ana miaka 100 unaweza mpiga na jiwe akafa

of course hata binadamu mmoja anaweza mpiga risasi akafu, hiyo siyo pointi yangu, swala ni nguvu za gorila ukilinganisha na binadamu …
 
eti wanaume wangapi wenye nguvu wanaweza shindana na gorrila na kumshinda kwa kumpeleka chini? nimesikia mpaka wanaume 100 eti ndiyo wanaweza mpeleka gorrila chini, nini maoni yako ? …

kama zikipigwa wanaume vs gorilla

View attachment 3393190

View attachment 3393189
Mzee wa Gombe anapigwa chini na mwanaume mmoja tu ambaye ni Chadema Damu damu,sii aliye msaliti.
 
Kiufupi ni kwamba mnyama mwitu usipokuwa na silaha umeisha sababu kinguvu wanatushinda mbali sana, tunawaua kwa akili sisi tuna akili kuliko wanyama na wao wana nguvu kuliko sisi
 
Gorilla ni rafiki mzuri tu, kwanza hata habari kupigana na bin adam.
Duma, Chui,Tembo hata Simba hawali nyama ya mtu kabla hujawachokoza.
Gorilla ukimsumbua anaweza kuja kutawanya kijiji kizima hapo kwenu.
Na watakuja watatu tu.
Mtapigwa mpaka maji muite Malila
Duma siwezi kukaogopa ni kapaka ka mwituni, halafu tembo hali nyama
 
Mzee wa Gombe anapigwa chini na mwanaume mmoja tu ambaye ni Chadema Damu damu,sii aliye msaliti.

gombe sidhani kama kuna gorila, nafikiri kuna sokwe, sokwe siyo gorila, gorila ni mkubwa zaidi ya sokwe …
 
Hebu nichambue kwa undani uwezo wa gorilla na mlinganisho wa vitendo:

1. Nguvu ya Gorilla kwa Mlinganisho wa Vitendo

Kuvunja Mbao: Gorilla anaweza kuvunja mbao nene kama 2x4 inches (5x10cm) kwa mikono tu - sawa na mtu akitumia nyundo kubwa.

Kuinua Mizigo: Anaweza kuinua hadi 815kg (sawa na gari ndogo au farasi wawili wazima).

Kushindana na Wanyama: Nguvu zake ni 4-9 mara zaidi ya mwanadamu mwenye viungo vya kawaida.

2. Wanadamu Wanaoweza Kumshinda Gorilla

Kwa Hali ya Kawaida:

Wanadamu 4-8 wanaofanya kazi kwa pamoja wanaweza kumshinda kwa kumzunguka na kumvamia kwa mara kwa mara.

Lakini hii inahitaji ujasiri na ushirikiano kamili - gorilla atapambana kwa nguvu zote.

Kwa Gorilla Mwenye Hasira Kali:

Inahitaji wanadamu 10-15 waliopanga vizuri kwa silaha za kutosha (vijiti, nyundo, n.k.).

Bila silaha, hata wanadamu wengi wanaweza kuumia vibaya kwa sekunde chache tu.

3. Sababu za Uwezo Wake

Misuli: Mwili wake una misuli 6 mara nene zaidi ya ya mwanadamu.

Kasi: Anaweza kukimbia kwa 40km/h - kasi ya mbio fupi ya mwanariadha wa Olimpiki.

Menyo: Fizo lake lina nguvu ya 1,300 PSI, lenye uwezo wa kukata mfupa wa mwanadamu kwa urahisi.

4. Onyo

Gorilla ni mnyama mwenye amani hasa, lakini akikasirika au kujisikia katika hatari, hata kikosi cha polisi kinaweza kuwa na shida kumdhibiti bila silaha maalum.

hapo namba 2 siyo, hawapaswi kutumia silaha mkono kwa mkono, kwa silaha ofcourse hata binadamu mmoja anamuangusha gorila, lkn lengo ni nguvu za gorila vs za binadamu …
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom