Hii ni picha chini ya Gorilla au Sokwe aliyejulikana kwa jina ,,Bantu" huko nchini Mexiko amefariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo!
Hahaha Wazungu bhana yaani katika majina yooote wameamua kumpa huyu Sokwe jina la ,,Bantu", sasa kwa nini? Na huyu alikuwa ni Sokwe maarufu Mexiko nzima!
Marehemu Gorilla ,,Bantu" pichani
Gorilla ,,Bantu" enzi za Uhai wake huko Mexico City!