Google wanarekodi sehemu zote unazopita

KingPower

JF-Expert Member
Jun 8, 2015
1,098
1,745
Habari za wakati wakuu natumai mu wazima wa afya

Husika na kichwa cha habari apo juu leo nimepokea email kutoka Google kuhusiana na my activity za Mwezi agust.

Baada ya kuziona activities zote akili ikaa sawa kumbe Google wanarecord sehemu zote unazopita

Iliniamsha hisia kidogo mpaka sehemu za miaka 5 iliyopita nililetewa ( kumbuka device kwa maana ya simu nimebadilisha kama 3 ivi) ila Email ile ile.

Cheki apo chini sehemu nilizo pita anakuonyesha Hadi restaurant ulizo kua unaenda, shopping za maduka niliyo kua naenda

Technology ni nzuri ina faida na hasara ila tunako endea sijui

Kama leo imenikumbusha sehemu nyingi nilizo pita ingawa sio sehemu zote nimezionesha apo chini

Muwe na wakati Mwema pia
Screenshot_20200904-123737.jpeg
Screenshot_20200904-123619.jpeg
Screenshot_20200904-124256.jpeg
Screenshot_20200904-124034.jpeg
Screenshot_20200904-124321.jpeg
Screenshot_20200904-124113.jpeg
 
Ninafanyaje kujua sehemu nilizopita!!?

Je mtu wa tatu/third party hawezi kuaccess hii huduma, kujua harakati zangu !!?
 
Bila shaka hii ni elimu muruwa ,jazia nyama umefanikiwa vipi kupata kumbukumbu yote hiyo kutoka "Google" .
 
Hivi na mimi google wanazo rekodi ya gesti zote nilizopitia haiwezekani hawa jamaa pumbavu sana
 
Si ni wewe mwenyewe umeweka Location ON au sijaelewa?
Wakati mwingine ujiwasha (ujiweka ON) kama hauna app ya kudhibiti app zako kwenye simu hasa zinazotumia Geo-location mfano, google map, google earth, ResponseGPS, GeoAreaMap, GPS Essentials, Maverick, Weather na nyingine kama hizo. Sony Experia (made in China) walikuwa na huduma ya kudhibiti app zinazokuwa installed kwenye simu.
 
Nimetumiwa E- mail na Google wenyewe ya activities zangu (Google map timeline)

Nawaka nishauri (husia) juu ya Covid 19,!

Sasa baada ya ku explore
Ndo data zote zikaja asee mpaka baadhi ya guest ulizo ingia nimeniwekea ( Confidence)
Picha nilizo ziweka ni baadhi.
Bila shaka hii ni elimu muruwa ,jazia nyama umefanikiwa vipi kupata kumbukumbu yote hiyo kutoka "Google" .
 
Wakati mwingine ujiwasha (ujiweka ON) kama hauna app ya kudhibiti app zako kwenye simu hasa zinazotumia Geo-location mfano, google map, google earth, ResponseGPS, GeoAreaMap, GPS Essentials, Maverick, Weather na nyingine kama hizo. Sony Experia (made in China) walikuwa na huduma ya kudhibiti app zinazokuwa installed kwenye simu.
Hiki unacho ongea ni kweli kabisa
Ata Mkuu anaejidai kua location yake ipo off wakati wote

Siku awa request Google anaweza asiamini atakacho kiona
 
wajinga sna awa
me nikiwaga karibu na maeneo ya lodge au restaurants, google uwa wanatuma notification kuuliza hv "did you enjoy ur trip to (wanataja mahala nilipo au nilipo karibu na hyo sehe,m)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom