Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,079
- 43,565
Ndo zimetoka hata reviews bado
Ndo zimetoka hata reviews bado
Hizo ni balaa kaka, nimeshaagiza xl nasubiri kula maisha tum
Tsh ngapi Mkuu maana Mimi hadi Leo natumia pixel 6Hizo ni balaa kaka, nimeshaagiza xl nasubiri kula maisha tum
Mkuu wengi wamenisanua kilishaenda sana pale..Pixel Pro zote huwezi jutia, ila usije nunulia China Plaza tu
PamojaNdo zimetoka hata reviews bado
Sehemu gani ni sahihi kununua?Pixel Pro zote huwezi jutia, ila usije nunulia China Plaza tu
Yes unatumia tu coz bado haijawa unsupportedJe ni sahihi kwa moderste user now kula maisha na pixel6a
Nikiweka vpn naingia oprion ipi kupata read aloud hioGoogle Pixel 8 Pro ukiagiza AliExpress bei inaanzia TSh 2,200,000/=
Ila ukinunua Tanzania bei inaanzia TSh 2,500,000/=, wengine wanauza hadi milioni 3 kwa version za 512GB na 1TB
Google Pixel 8 (plain) AliExpress inauzwa around TSh 1,600,000/=
Nikiweka vpn naingia oprion ipi kupata read aloud hio
Hizi simu zinashuka gharama vibaya sana... 8 Plain sahivi 800kGoogle Pixel 8 Pro ukiagiza AliExpress bei inaanzia TSh 2,200,000/=
Ila ukinunua Tanzania bei inaanzia TSh 2,500,000/=, wengine wanauza hadi milioni 3 kwa version za 512GB na 1TB
Google Pixel 8 (plain) AliExpress inauzwa around TSh 1,600,000/=
BEI ZA PIXEL 9 SERIES mara ya mwisho niliona:9 pro Bei gani