Hakunaa,nina jamaa zangu kama wa 3 hivi wanaishi china na mwingine katoka juzi hapa,tunachart kwa wasap kila siku,wala hata hiyo unayoita VPN hawaijui maana yake nini?.Acha ku google unreliable sources ukajiona unajua.Tafuta mtu yeyote anayeenda china thena akifika kule mtext watsap uone.Acha habari za kuambiwa brother