DuuuuuuuuuChina Blocks WhatsApp, Broadening Online Censorship
The list of blocked websites in China - Updated 2018
Rais yuko sahihi, hao wanaotumia, watakuwa wanatumia kwa njia za wizi au wanatumia VPN
Bado wanampango wa kudhibiti uncontrolled VPN zoteDuuuuuuuuu
VPN AU ROOTED DEVICESChina Blocks WhatsApp, Broadening Online Censorship
The list of blocked websites in China - Updated 2018
Rais yuko sahihi, hao wanaotumia, watakuwa wanatumia kwa njia za wizi au wanatumia VPN
Hakunaa,nina jamaa zangu kama wa 3 hivi wanaishi china na mwingine katoka juzi hapa,tunachart kwa wasap kila siku,wala hata hiyo unayoita VPN hawaijui maana yake nini?.Acha ku google unreliable sources ukajiona unajua.Tafuta mtu yeyote anayeenda china thena akifika kule mtext watsap uone.Acha habari za kuambiwa brotherBado wanampango wa kudhibiti uncontrolled VPN zote
China will block all non-approved VPNs from next month | TechRadar
tatizo ujuaji wa kudhani kupinga kila anachosema au mfano anaotoa kiongozi wa nchi ni sifa mitandaoni.
katika hilo yuko sahihi, labda tuseme tu sisi asitufanyie mambo ya china.
Hakuna ndugu,watu wanenda Guangzhou kufanya business tunachart nao watsapp kama kawaida,Hiyo sijui VPN hata hawaijui,am sure of that na washangaa sana tunaposema china hakuna watsapp.VPN AU ROOTED DEVICES
tatizo watu wana jua sana mpaka wanakela... ndio maana wanaishia kudesa... lakini kichwani hamnazo... hawana akili za kupambambanua mambo mpaka wagugo... ilikuwa ni suala la kuuliza na kupata majibu... kabla haja post... hili suala la kufunga au kudukua hata Max melo aliwahi kuzungumzia humu jinsi gani china wana hangaika na mafanikio ni madogo... simu fake zime zimwa tanzania lakini wapo wanao tumia na hawajui codes wala vpn.... tuna TBS TFDA nk lakini vitu fake vina tufikia watu wa mwisho au walaji...Hakuna ndugu,watu wanenda Guangzhou kufanya business tunachart nao watsapp kama kawaida,Hiyo sijui VPN hata hawaijui,am sure of that na washangaa sana tunaposema china hakuna watsapp.
kuzuia ushoga haimaanishi hakuna mashoga nchini.Hakunaa,nina jamaa zangu kama wa 3 hivi wanaishi china na mwingine katoka juzi hapa,tunachart kwa wasap kila siku,wala hata hiyo unayoita VPN hawaijui maana yake nini?.Acha ku google unreliable sources ukajiona unajua.Tafuta mtu yeyote anayeenda china thena akifika kule mtext watsap uone.Acha habari za kuambiwa brother