Google Chrome Msaada Tutani.

Google Chrome Msaada Tutani.

Public Enemy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2011
Posts
3,062
Reaction score
3,620
Wakuu habari ya muda huu, ninapatwa na shida hii katika Laptop HP 630 CORE I3. Chrome pamoja na chromium zote hazifunguki. Zinaleta ujumbe huo. WINDOWS INTERNET EXPLORER INAFUNGUKA LAKINI HAIFUNGUI SITES NINAZOTAKA. Naombeni msaada.
15356968417986172801908870120188.jpg
 
Jaribu kufungua. ikikataa chukua screenshot alaf iposti hapa. Ili tujue pa kuanzia
 
Hapo nimekusoma sasa. kumbe kuna baadhi ya site ndio haifungu.

cha kwanza UPDATE CHROME
Hakikisha Tarehe ya hiyo computer yako ipo sahihi.
Je unatumia internet binafsi au ya ofisi (naomba kujua chanzo chako cha internet)
 
anatumia internet ya serikali,nadhani angesubiri muda wa masaa ya kazi upite then ndio ajaribu tena..
 
Hapo nimekusoma sasa. kumbe kuna baadhi ya site ndio haifungu.

cha kwanza UPDATE CHROME
Hakikisha Tarehe ya hiyo computer yako ipo sahihi.
Je unatumia internet binafsi au ya ofisi (naomba kujua chanzo chako cha internet)
Nimejaribu kui update haitaki pia. Natumia internet Binafsi mkuu.
 
Wakuu habari ya muda huu, ninapatwa na shida hii katika Laptop HP 630 CORE I3. Chrome pamoja na chromium zote hazifunguki. Zinaleta ujumbe huo. WINDOWS INTERNET EXPLORER INAFUNGUKA LAKINI HAIFUNGUI SITES NINAZOTAKA. Naombeni msaada.View attachment 852136
Chrome mara nyingi inashare na setting za pc wakati mozilla firefox inajitegemea. Download firefox kwanza kisha angalia inaleta hilo tatizo?
 
Back
Top Bottom